Baada ya kuichapa Mtibwa Sugar, Simba yaendeleza kipigo kwa JKT Ruvu … (+Pichaz)
Ligi Kuu soka Tanzania bara iliendelea kwa michezo mitano kupigwa katika viwanja tofauti, kwa upande wa Dar Es Salaam klabu ya JKT Ruvu ilikuwa mwenyeji wa Simba katika mchezo wa…
Mawili kutoka Ikulu kuhusu agizo la kuzuia vimini, na sakata la wahamiaji haramu..
Kuna taarifa imenifikia leo kutoka Wizara ya Mambo ya Nje, Afrika Mashariki, Kanda na Kimataifa kuhusu ishu mbili, kwanza kuhusu oparesheni ya kukamata wahamiaji haramu na pia ishu ya agizo…
Picha 10 muonekano wa bonde la Msimbazi baada ya mvua kunyesha Dar
Jan 20 2016 mvua zilinyesha katika baadhi ya maeneo Dar, hapa nakusogezea picha kutokea eneo la Mkwajuni Kinondoni eneo ambalo siku chache zilizopita bomoabomoa ilihusika kulisafisha kutokana na mazingira kutokuwa…
Mzungu na watoto wake 19!! bado ana mpango wa kupata wengine..
Sue Radford na mume wake Noel wameendelea kukaa kwenye headlines baada ya kutarajia mtoto wa 19 katika familia yao. Mama huyo raia wa Uingereza mwenye miaka 40 ambaye kwa sasa…
Badala ya kuvaa suti jamaa kufunga ndoa akiwa kavaa jezi ya Arsenal, kisa …(+Pichaz)
Watu na mapenzi na timu zao mtu wangu, hii inaweza ikakushangaza kidogo kwa sababu najua tumezoea kuona watu wanapofunga ndoa wanavaa suti na tai, lakini shabiki mmoja wa Arsenal ameamua…
Picha nane za mitaa ya Arusha inavyoonekana, nako mvua imeshuka leo..
Vyombo vya habari vimekuja na ripoti mfululizo ikiwemo Mamlaka ya Hali ya Hewa TMA kutangaza dalili za ujio wa El Nino... wa mabondeni na maeneo hatarishi wakashauriwa kuhama. Watu wa…
Ommy Dimpoz kuhusu post alizozifuta Instagram na aliowaunfollow
Ommy Dimpoz ni mwimbaji wa bongofleva ambaye yuko kwenye headlines sasa hivi na single yake mpya ya 'achia body' ambayo imeshatoka kwenye audio na video, kwenye hii video hapa chini…
Louis van Gaal karudi tena kwenye headlines, Mirror wana taarifa hizi …
Bado presha kwa kocha wa sasa wa Man United Louis van Gaal inazidi kuongezeka baada ya kurudi tena katika headlines za magazeti ya Uingereza ambayo kwa kiasi kikubwa huwa yanaandika…
Wabunge wamgeuka Rais, mwanamke aliyekutwa kwenye paa Wizarani, Kalamu za CHADEMA..#MAGAZETINI
MTANZANIA Wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamemgeuka Rais Dk. John Magufuli na kutaka kasi yake iangaliwe upya vinginevyo inaweza kukigharimu chama hicho tawala kwa wananchi. Tangu Rais Magufuli aingie…
Zisikupite Top 10 ya Stori kubwa kutoka ndani ya Magazeti ya leo January 20..Tweets
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita, hapa…