Mwanafunzi asimulia alivyobakwa na FFU Arusha…(+AUDIO)
Jeshi la Polisi Arusha limemfukuza kazi Askari wa kikosi cha kutuliza ghasia (FFU) kwa tuhuma za kumbaka mwanafunzi, hapa nakukutanisha na msichana aliyebakwa akielezea tukio zima lilivyotokea. https://www.youtube.com/watch?v=i7655VH_mFw Unataka kutumiwa MSG za…
Stori za Magazeti ya Tanzania January 20 zilivyosomwa Redioni Clouds FM (+Audio)
Bomoabomoa yatenganisha wanandoa Dar, mmoja alalamika kutoonana na mkewe baada ya kujeruhiwa mbavu wakati wa zoezi hilo. Mwili wa aliyekuwa Mbunge, Leticia Nyerere wawasili Dar, kuagwa leo kwa ajili ya…
Mrisho Mpoto kamshirikisha Banana na Farida kwenye ujio wake mpya,- ‘Sizonje’ (+Audio)
Mkali wa nyimbo za asili Mrisho Mpoto ametuletea singo yake mpya inaitwa Sizonje ambayo kamshirikisha Banana Zoro na Farida pia... Mrisho Mpoto ana rekodi za kufanya nyimbo nyingi kali zilizopokelewa…
Time ya kuenjoy na kitu ‘OG’ kutoka kwa mweusi G Nako.. ‘Original’- (+Video)
Keep it original mtu wangu !! Hiyo ni nyingine inayokufikia sasahivi kwenye video yake, mweusi G Nako mkali ya chorus kwenye headlines zake anakuja na kitu 'OG' mpyampya kwenye mapokezi…
Mchanganyiko wa fleva ya Mzee Yusuph na Vanessa Mdee kwenye collabo, ‘Mashallah’.. (+Video)
Hii ni collabo yenye mchanganyiko wa fleva, mkali wa taarabu Mzee Yusuph katudondoshea mdundo wake mpya 'Mashallah' ndani ya wimbo yuko mrembo pia mwenye jina la uzito wake Bongoflevani, Vanessa Mdee. Video…
Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo January 20 2016 kwenye Udaku, Hardnews na michezo
Ni Jumatano January 20 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu…
Baada ya watu kutoa lawama, Haji Manara kataja mambo matatu yaliomuondoa Kerr Simba (+Audio)
Baada ya watu wengi kulalamika juu ya uongozi wa klabu ya Simba kuamua kutangaza kumtimua aliyekuwa kocha mkuu wa klabu hiyo muingereza Dylan Kerr, usiku wa January 18 mkuu wa…
Hizi ni taarifa mbaya kwa Chelsea kuhusu mpango wa kumsajili staa huyu …
Klabu ya soka ya Chelsea ambayo ilikuwa na matumaini kwa kiasi kikubwa kupata saini ya moja kati ya wachezaji wa kibrazil, January 19 imekataliwa kuuziwa mchezaji na klabu inayo mmiliki.…
Kwa mpenda soka kama ukiwahi kutoka kazini January 20 na 21, hizi ni sehemu za kwenda …
Kama kweli wewe ni mpenda soka hususani la Tanzania na Uingereza basi siku ya Jumatano na Alhamisi ya January 20 na 21, kama utawahi kutoka kazi inabidi uwahi uwanjani au…
Hii ndio sentensi inayoashiria mwisho wa maisha ya Yaya Toure Man City unakaribia …
Kiungo wa kimataifa wa Ivory Coast anayeichezea klabu ya Man City ya Uingereza Yaya Toure amekuwa akiingia kwenye headlines mara kadhaa, baada ya kuhusishwa kuondoka Man City. January 19 wakala…