Huyu ndio staa anayetajwa kukaribia kutua Chelsea January, wakala wake anatajwa kuwa London …
Tukiwa katika dirisha dogo la usajili kwa vilabu vya soka barani Ulaya, kila klabu bado inaonesha nia ya dhati ya kutaka kufanikisha usajili wa mchezaji inayemuhitaji tayari January 14 klabu…
FIFA imezifungia Real Madrid na Atletico Madrid, hii ndio mipango ya Ronaldo itakayokwama …
Vilabu vya Real Madrid na Atletico Madrid vya jiji la Madrid Hispania, January 14 shirikisho la soka ulimwenguni FIFA limetangaza adhabu ya kuvifungia vilabu hivyo, kutokana na kukiuka sheria ya usajili ya…
Picha 17 za Mwanza leo baada ya mvua kufunika siku nzima…(Pichaz)
Naambiwa leo kwa watu wangu wa 88.1 Mwanza wametembelewa na neema ya mvua, mvua imenyesha kwa zaidi ya masaa 7, ripota wa millardayo.com hakuona tabu kupita kwenye baadhi ya maeneo…
Pichaz za Linex haikuwa mchongo wa ndoa, ni ujio wa huu wimbo wake mpya.. -‘Kwa Hela’ (+Audio)
Kulikuwa na pichaz zilizokamata headlines mitandaoni zikionesha Linex kwenye suti na mrembo wake ndani ya gauni zuri kabisa, wako waliohisi kwamba ndio kusema Linex kavuta jiko kimyakimya hivi !! Haikuwa hivyo,…
Kumbe ni ‘mchepuko’ uliovunja penzi la kwanza la Wastara ?! Kilichofatia ? (U Heard)
Wastara staa wa Bongo Movie alithibitisha kwamba kaamua kuyaanza maisha mengine kwa kufunga ndoa na mume wake wa sasa ambaye ni Mbunge kutoka visiwani Zanzibar. Kabla ya ndoa ya sasa, Wastara…
Video kutoka India ya Muhindi aliyechukua melody na beat ya wimbo wa Dully Sykes.
Kitambo kidogo tulikua tukizisikia nyimbo Wasanii wa bongo wakidandia beat na melody za nyimbo kutoka kwenye mabara nje ya Afrika sanasana Marekani ila leo tunayo video ya Msanii wa India…
Jux alichukia ustaa? unamfananisha Joh Makini na nani? Q Chief na meneja wake? 255 (+Audio)
Aliwahi kusikika staa wa Bongofleva kitambo ambaye kaamua kurudi tena kwenye game, Q Chief akiongelea kutofautiana na Management yake ya muziki inayoongozwa na Q S Mhonda. Leo unasikika upande wa…
Hekaheka ya ubabe wa mwanamke aliyekosesha amani mtaa mzima Kawe Dar.. (+Audio)
Hii ishu ilisikika kwenye Hekaheka siku chache zilizopita, kesi yote ilikuwa suala la mwanamke mmoja maeneo ya Kawe Dar kuwa na tabia ya kupiga watu na wengine kuwajeruhi. Majirani na…
Kumbe hii ndio mipango ya Rais Museveni kwenda mbinguni !! motoni hawazii kabisa..(+Video)
Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni ni mmoja wa Marais wa Afrika ambao sio wageni kuingia kwenye headlines ya stori za utani hivi... karudi tena, alikuwa kwenye kikao na waandishi…
Nyimbo 20 zilizochezwa sana kwenye Redio za Tanzania January 4 mpaka 10 mwaka 2016
Kutana na chati ya muziki ya nyimbo 20 zilizochezwa sana kwenye vituo mbalimbali vya Redio nchini Tanzania kutoka kwenye kampuni ya CMEA ambayo inayo mitambo maalum ya kujua kila wimbo…