China hali sio nzuri, imebidi wanunue hewa safi kwenye chupa hizi.. (+Video)
Kumekuwa na ripoti mfululizo kuhusu ishu ya hali mbaya ya hewa iliyokumba nchi ya China ikafikia hatua mpaka baadhi ya viwanda vikalazimika kufungwa kwa muda. December 14 2015 nilikusogezea ripoti ya…
Nimekusogezea #TWEETS zilizobeba stori zote kubwa kutoka kwenye Magazeti 8 ya Tanzania Desemba 16, 2015
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita, hapa…
Shabiki wa HipHop? Wiz Khalifa anakuletea hii mpya, ‘Cabin Fever 3’ isikilize yote hapa! – (Audio).
Wiki moja baada ya kuisogeza tracklist ya mixtape yake mpya, Cabin Fever 3 staa wa muziki wa HipHop Marekani, Wiz Khalifa anatimiza ahadi kwa mashabiki wake kwa kuisogeza mixtape hiyo…
Ziara ya LOWASSA, Mchungaji, mkewe wafanya ukatili, dhamana ya vigogo wa TRA…#MAGAZETINI
MWANANCHI Aliyekuwa mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Edward Lowassa, anatarajia kufanya mkutano wa hadhara kesho jijini…
Hii ndio idadi ya followers wa Vanessa Mdee Instagram… kawagusa Diamond & Wema Sepetu!
Najua nina watu wangu ambao ni mashabiki wakubwa wa staa kutoka bongo flevani, Vanessa Mdee a.k.a Vee Money. Najua pia mmekuwa mkimfuatilia Vanessa kwenye matukio yake mengi na kwa ajili…
Ice Prince kamuweka mpenzi wake kwenye hizi dakika nne za ‘Feelings’ – (Video)!
Mkali wa muziki kutoka Nigeria, Ice Prince Zamani anaziandika headlines kwenye kurasa za burudani. Baada ya kuuweka wazi uhusiano wake na mrembo Maima, staa huyo amekuja na mdundo mwengine kwenye…
Ni mdundo baada ya mdundo… hii ni nyingine kutoka kwa Chris Brown, ‘Wrist’ feat. Solo Lucci – (Video)!
Staa wa muziki kutoka Marekani, Chris Brown anazidi kuzisogeza videos kutoka kwenye album yake ya saba, Royalty. Baada ya kusiogeza kwetu video ya Back to Sleep jana 15 December 2015,…
Video 2 fupi za comedy:Mwizi wa gari alivyotegwa, Boyfriend anapojidai msamaria kumbe girlfriend tayari ameshajua anachepuka
Kuna vipisi vya sekunde 15 kila kimoja hapa kwenye hii post ya vichekesho/vituko vilivyotengenezwa ambapo hiki cha kwanza hapa kinahusu boyfriend anapojidai msamaria kumbe girlfriend tayari ameshajua anachepuka na cha…
Magazeti ya Tanzania December 16 2015 na stori zake kubwa kurasa za mwanzo na mwisho
Leo December 16 2015 nimekuwekea tena stori zote kubwa za Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku, michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu, usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook twitter na…
Hii ndio sababu ya Antalyaspor kumuongezea majukumu Samuel Eto’o ya kuwa kocha mchezaji …
Mshambuliaji wa kimataifa wa Cameroon anayekipiga katika klabu ya Antalyaspor ya Uturuki Samuel Eto'o bado yupo katika kikosi hicho na anapewa nafasi kubwa. Stori zilizotoka December 15 zinaeleza kuwa uongozi wa…