Kutana na mchekeshaji anayemuigilizia Rais Magufuli kuongea… yani mulemule ! (+video)
Ni mchekeshaji na mwigizaji wa sauti ambaye anaweza kusimama mbele yako na kwa uhakika hautaondoka bila kucheka... kutana na Mlugaluga, Mtanzania aishie Dar es salaam ambaye kazi yake pia ni…
Mbwana Samatta kwenye stage moja na Yaya Toure Tuzo za CAF January 7 2015 Abuja Nigeria …
November 2 shirikisho la soka barani Afrika CAF limetangaza majina 1o ya wachezaji soka wanaowania tuzo ya mchezaji bora Afrika sambamba na majina ya wachezaji 10 wengine wanaowania tuzo hiyo kwa wachezaji…
Rooney anaweza kulipa wachezaji, viongozi, makocha wa Ligi Kuu TZ. Cheki TOP 10 ya mishahara ya mastaa wa EPL …
Baada ya dirisha la usajili la Ligi Kuu Uingereza kufungwa mara nyingi wachezaji wanaosajiliwa kwa dau kubwa huwa wanaingia katika headlines za kupanda kwa mishahara yao. Miongoni mwa wachezaji wapya…
Maneno ya Zitto Kabwe baada ya Samatta kutajwa kuwania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika
Headlines za soka Dec 14 kwa bara la Afrika ni kuhusiana na wachezaji walioingia 3 Bora kuwania tuzo ya Mchezaji Bora wa Afrika Mwaka 2015,.. ambapo kati ya list ya…
Headlines haziishi China, cheki na hii ya kulipia hewa safi ukiingia mgahawani…
Headlines kuwepo kwa wingu zito huko China zilichukua nafasi katika vyombo mbalimbali vya habari na kusababisha Serikali kuagiza baadhi ya viwanda vifungwe kwa siku kadhaa ili kukabiliana na hali hiyo.…
Dj Maphorisa katudondoshea hii video mpya ft Wizkid & Dj Buckz – Soweto baby
Dj Maphorisa ambaye ni producer aliyetengeneza single kama 'ole themba' ya Linah na Kaunyaka ya Temba na Chege, ni Dj wa South Africa kutoka kundi la Uhuru ambapo leo katudondoshea huu…
Kauli za wachezaji 6 wa zamani wa Man United wanaoamini Louis van Gaal anaibomoa Man United …
Headlines za mfumo wa kocha wa sasa wa Man United Louis van Gaal katika kukifundisha kikosi hicho zinazidi kuchukua nafasi kila siku. Tumewahi kuwasikia wachambuzi kadhaa wa soka ambao wamekuwa…
Ninayo taarifa kutoka TANESCO kuhusiana na miradi inayoendelea…..
Inawezekana ukawa na hamu ya kufahamu vitu vingi vinavyoendelea kwa sasa katika shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), sasa stori ninayotaka kukusogezea ni hii kuhusiana na miradi ya umeme inayoendelea nchini. Akizungumza…
Waziri Mwigulu Nchemba alivyolazimika kufika Morogoro kwenye mapigano ya wakulima na wafugaji (Picha)
Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais Magufuli imeanza kazi na tayari Baraza la Mawaziri limetajwa na wengine tayari wameanza kazi... Waziri Mwigulu Nchemba yeye ameteuliwa kuwa Waziri wa Kilimo, Uvuvi na…
Picha 7 za Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi alivyopokelewa ofisini kwake leo..
Jumamosi iliyopita Rais John Magufuli aliwaapisha Mawaziri watakaoitumikia Serikali ya awamu ya tano katika viwanja vya Ikulu, Dar es salaam Mara baada ya kuapishwa Mawaziri hao walianza kazi ya kutumia…