Mchekeshaji Masanja kaanza safari ya Ubunge.. Soudy Brown kamletea story za ‘kwa babu’… (U Heard)
Unajua story au tetesi zikishamfikia mzee wa 'Gossip' aka Soudy Brown, ana mbinu zake mwenyewe kuwanasa watu wake !! Ya leo kwa staa wa Orijino Komedi, Masanja ni hii ya Soudy…
Peter Okoye wa P Square aweka wino wa kuwa balozi wa kampuni nyingine kubwa duniani!
Mmoja ya wasanii wanaounda kundi maarufu la P Square kutoka Nigeria, Peter Okoye anaziandika headlines baada ya taarifa kusambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa staa huyo wa muziki Africa amedondosha…
Maandalizi nje mpaka ndani ya Uwanja wa Uhuru Dar atakapoapishwa Dk. Magufuli.. +Pichaz 11
Historia ya siasa Tanzania kwenye headlines za Uchaguzi Mkuu 2015 ilikuwa ni lazima ikamilishwe kwa matukio kadhaa, kati ya hayo liko tukio la kupatikana Wagombea viti vya Udiwani, Ubunge na…
Ripoti nyingine ya ajali ya ndege iliyonifikia kutoka Sudan…
Matukio ya ajali za ndege yameendelea kuchukua headlines katika vyombo mbalimbali vya habari duniani. Ikiwa ni siku chache baada ya ndege ya Urusi kuanguka na kuua zaidi ya watu 200…
Kala Pina hajakubali matokeo ya Ubunge Kinondoni, kinachofuatia ni yeye na Mahakama.. (+Audio)
Tukiwa tumemaliza headlines za Uchaguzi mkuu 2015, stori ninayotaka kukusogezea ni hii kutoka kwa msanii wa Hip Hop Kalapina ambaye alikuwa ni mgombea wa Ubunge jimbo la Kinondoni Dar es Salaam.…
Dk. MAGUFULI anaapishwa, kesho ni mapumziko TZ!!
Zimebaki saa chache kabla ya kushuhudia tukio zima la kuapishwa kwa Rais wa awamu ya tano atakayeongoza Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kipindi cha miaka mitano inayofatia. Tayari tumepata…
Lil Wayne matatani, polisi walazimika kuvunja nyumba yake ya Miami kwa sababu hizi…
Msanii wa muziki wa HipHop Marekani, Lil Wayne amejikuta matatani baada ya polisi kuibuka nyumbani kwa msanii huyo na kuzuia baadhi ya mali zake ikiwa ni sehemu ya hukumu iliyotolewa…
Yemi Alade kaisogeza kwako Official Video ya ‘Na Gode’ Feat. Selebobo
Jana hitmaker wa ngoma ya 'Johnny' Yemi Alade alitusogezea pichaza za behind the scene ya ngoma yake mpya ya 'Na Gode'. Tayari staa huyo tayari kaidondosha kwako Official video ya…
Aua wake zake kwa jembe, uchaguzi Z’bar, wizi mtihani wa kidato cha nne…MAGAZETINI Nov.04
MWANANCHI Wagombea wa urais wa Zanzibar wa vyama sita, wamemwandikia barua Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa UN), Ban Ki Moon kumwomba asaidie kutatua mgogoro wa Zanzibar uliotokana na kufutwa…