Mpenzi wa zamani wa Mose Iyobo leo kapiga stori na Soudy Brown, Alichokisema?…#Uheard Audio
Soudy Brown leo kapiga stori na Mwengi ambaye alikua mpenzi wa zamani wa Mose Iyobo na mama wa mtoto wake..kafunguka na kusema kwa sasa anaishi maisha ya furaha na tayari…
Tour ya Jokate, Maneno ya Shetta kwa Rais ajaye, asichokisahau Harmonize…#255 Audio
Jokate na team yake ya kidoti wanafanya tour katika shule mbalimbali za Sekondari Dar es salaam..kupitia 255 Jokate amesema lengo la ziara hiyo ni kuwahamasisha wanafunzi wawe na utambuzi zaidi…
Jiji la Kisasa linajengwa Marekani lakini hatoruhusiwa mtu yoyote kuishi.. (Pichaz &Video)
Katika Jiji la New Mexico Marekani, sehemu kubwa sana ya eneo la Jiji hilo ni Jangwa na Milima mikubwa… ni eneo kame kabisa ambalo sio rahisi mtu akavutiwa kuishi. Wataalam…
Muendelezo wa hekaheka ya jana, kilichoamuliwa baada ya kikao kiko hapa…Audio
Leo ni mwendeleo wa hekaheka ya jana ambayo ilihusu jirani mmoja huko Kivule, Dar es salaam kudaiwa kuwanyanyasa majirani wenzake hadi kuwafikisha kituo cha Polisi. Jana kulikuwa na kikao cha…
Kanye West haishiwi vioja! Haya ni mengine kutoka kwake…+ (Video).
CEO wa lebo ya G.O.O.D Music Kanye West hivi karibuni alifanya interview na SHOWstudio, interview ambayo iligusia mada nyingi ikiwemo, ubaguzi wa rangi Marekani, ubunifu wake wa mitindo na mavazi pamoja…
Mastaa wa tennis duniani nao wanamiliki hii mijengo ya kifahari…Pichaz
Mchezo Tennis ni miongoni mwa michezo inayopendwa sana hasa kwa nchi zilizoendelea ukiachana na mpira wa miguu.. Kuna mastaa wengi wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kupitia mchezo huo ambapo mbali ya…
Haya ndio maneno ya Rihanna kuhusu Chris Brown sasa hivi…
Siku chache zilizopita Rihanna alifanya interview na jarida la Vanity Fair, la Marekani na kuzungumza vitu vingi ikiwemo uhusiano wake wa zamani na R&B staa Chris Brown. Baada ya kujibu…
Jay Z na Beyonce hawajachoshwa nyumba za kupanga? Ya kwanza imeuzwa, wanahamia humu… (+Pichaz)
Nyumba ya kwanza ambayo waliamua kuishi Jay Z na Beyonce pamoja na mtoto wao Blue Ivy, ilikuwa maeneo ya Los Angeles Marekani na walianza rasmi maisha ndani ya huo mjengo…
EXCLUSIVE: Video ya kilichonaswa kwenye talaka ya Flora Mbasha na mumewe
October 6 2015 waimbaji wa gospel ambao ni wanandoa, Flora Mbasha na mumewe Emmanuel Mbasha walifika Mahakamani kwenye kesi ya madai ya talaka iliyofunguliwa na Flora zaidi ya mwaka mmoja…
Picha za mama Regina Lowassa Zanzibar alivyoongea na Wanawake kuusubiria uchaguzi.
Jana ilikua October 6 2015 ambapo bado sera zimeendelea kunadiwa kuisubiria siku kubwa ya kura ambayo ni October 25 2015 ambapo mmoja wa waliochukua headlines jana ni mke wa mgombea…