Dully Sykes kathibitisha hutomwona kwenye Kampeni za Siasa, Kupiga Kura je? (Audio + Pichaz)
Dully Sykes ni Mkongwe wa Bongo Fleva, japo wapo Mastaa wengine pamoja na wakongwe kama yeye ambao wamejiingiza kwenye Siasa kwa kuwapigia Kampeni Wagombea wa nafasi mbalimbali... Dully aliandika kwenye…
Hekaheka ya Mama kumnyonyesha mtoto wa mwenzake imefika Polisi..(Audio)
Hekaheka ya leo inatokea maeneo ya Mbagala ambapo kuna mama mmoja anatuhumiwa kumnyonyesha mtoto wa jirani yake...alimchukua mtoto wa jirani yake huyo na kumnyoshesha baada ya kumkuta analia. Dada wa…
Staa wa Movie toka Nigeria, Genevieve Nnaji anakuja na hii mpya, nimeinasa Trailer yake.. (Video)
Taarifa ikufikie kwamba Staa wa Movie toka Nigeria, long time sana yuko kwenye game bado ana nguvu ya kutusogezea vitu vizuri.. Jina lake ni Genevieve Nnaji, japo nguvu yake kaiweka…
‘Strong Girl remix’ ndani wamo Diamond, Vanessa, D’banj, Waje, Yemi Alade…Video
May mwaka huu wasanii mbalimbali wa kike Africa waliungana na kutoa Video ya wimbo wa Strong Girl ikiwa ni kampeni zao za kuhamasisha elimu kwa wanawake na watoto wa kike…
Abiria kakosea mlango Ndege ikiwa angani, badala ya chooni akaenda kwenye mlango wa kutokea nje..
Ndege ya Shirika la KLM ilikuwa katikati ya safari kutoka Edinburgh kwenda Amsterdam, Uholanzi... ilibaki kidogo mambo yaharibike katikati ya safari.. abiria mmoja akakosea mlango, badala ya kufungua mlango wa kuingia…
Unayajua majengo yaliyoweka rekodi kwa urefu zaidi duniani? Nimekusogezea hapa…
Dubai, Shanghai, New York City ndio miji inayoongoza kuwa na mpangilio mzuri wa majengo duniani na ndiyo inayoongoza kwa kujenga majengo marefu yaliyoweza kuingia kwenye rekodi za dunia. Ukuaji wa…
Usain Bolt kaamua kukatisha Interview baada ya kusikia wimbo wa Taifa…(Video)
Usain Bolt ameonyesha kujali zaidi wimbo wa Taifa baada ya kukatisha Interview alipokuwa akihojiwa na mtangazaji wa Televisheni baada ya kusikia wimbo wa Taifa wakati ukiimbwa. Huu unaweza kuwa mfano…
Trevor Noah kwenye headlines, azindua rasmi show ya The Daily Show Marekani akiwa na staa huyu..!
Mchekeshaji kutoka South Africa, Trevor Noah aliweka headlines nyingi sana Africa pamoja na dunia nzima baada ya kuchaguliwa kuwa mtangazaji mpya wa kipindi cha comedy kiitwacho The Daily Show nchini…
Lowassa na Tanga, Rungwe na Ikulu, Magufuli serikali mpya + Mahujaji Tz Mecca! (Audio)
Asubuhi siku zote huanza na uchambuzi wa magazeti @CloudsFM The Peoples Station, na pengine sio zote zimekufikia, unaweza ukacheki na hizi kubwa nyingine kufidia. Maelfu wakanyagana Tanga kutaka kumuona Lowassa,…
Reality show ya ‘Dance with Peter’ wa P-Square tayari Episode1 Video iko hapa…
Yes!! ile reality show ya Peter Okoye kutoka kundi la P- Square inayojulikana kama 'Dance with Peter' tayari imeanza kuonekana baada ya kuachia sehemu ya kwanza ya show hiyo. Katika…