Mwaka mmoja tangu kupotea wanafunzi Mexico, msimamo wa wazazi ni huu..Serikali je?
Tarehe kama ya leo Mexico iliingia kwenye headlines baada ya kuwepo na taarifa ya kupotea kwa wanafunzi 43 katika mji wa Iguala Kusini mwa nchi hiyo. Pamoja na kuwepo utata…
Hawakujali kuzungumziwa..uhusiano wa mastaa hawa umeendelea kudumu!!
Watu wengi huamini watu wengi maarufu hawawezi kukaa muda mrefu katika uhusiano wao wa kimapenzi kutokana na umaarufu walionao na kuchangia mahusiano yao kuvunjika. Pamoja na wengi kushindwa kuvumiliana na…
Mambo matano huenda yamekupita kuhusu Serena Williams…(Pichaz &Video)
Serena ameendelea kujipatia mafanikio makubwa zaidi kupitia mchezo wa tenis duniani. na ndiye mchezaji bora wa mchezo huo ambao umekuwa ukimuingizia mamilioani ya pesa. Serena amedumu katika mchezo huo kwa…
Kcee kaisogeza kwako Video ya ngoma yake mpya ‘AGBOMMA’…
Wakati Ngoma ya 'Love Boat' ya Kcee aliyomshirikisha Diamond Platnumz bado inaendelea kufanya vizuri katika Industry ya Muziki..staa huyo karudi tena kwenye headlines baaada ya kuachia video ya ngoma yake…
Magazeti ya Tanzania Septemba 27, 2015 yameamka na hizi kwenye Michezo na hardnews
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumapili Septemba 27, 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Michezo na Hardnews, zote ziko…
Ninazo picha 28 kutoka kwenye show ya #KillFest Dar es Salaam…..
Ni Sept 26, 2015 ambapo mashabiki wa muziki wa Bongo Fleva walishuhudia Burudani ya nguvu kutoka kwa wasanii mbalimbali akiwemo, Ruby, Fid Q, Aika na Nahreel, Damian Soul, Barnaba na…
Ulishawahi kuona uwanja wa soka unaelea? Nimekutana na picha zake mtu wangu…
Kama hukuwahi kubahatika kutembelea Singapore basi Marina Bay ni moja kati ya sehemu ambazo unapaswa kutembelea kama utafanikiwa kufika Singapore. Marina Bay ni uwanja wa mpira wa miguu ambao unaelea kwenye maji, yaani…
Baada ya uchunguzi kufanyika, huu ni muda ambao Lionel Messi atakuwa nje ya Uwanja (+Pichaz&Video)
Mshambuliaji wa kimataifa wa Argentina na klabu ya FC Barcelona ya Hispania Lionel Messi ameingia katika headlines baada ya kushindwa kuendelea na mechi dhidi ya Las Palmas. Lionel Messi alilazimika kufanyiwa…
Mbowe alivyosindikizwa na Lowassa, Mbatia kwenye uzinduzi wa Kampeni za Ubunge Jimbo la HAI.. (+Pichaz)
Kampeni za Uchaguzi Mkuu 2015 zimeendelea Tanzania, leo nakusogezea hii kutoka Jimbo la Hai Mkoa wa Kilimanjaro.. Mbunge anayemaliza muda wake Freeman Mbowe amefika leo Jimboni kwake na kuzindua Kampeni…
Newcastle United Vs Chelsea pichaz na video ya magoli ninayo hapa…
Bado mechi za Ligi Kuu Uingereza zinaendelea weekend hii, Jumamosi ya September 26 zilichezwa mechi kadhaa ila moja kati ya hiyo ni mechi kati ya Newcastle United dhidi ya Chelsea mechi…