Rekodi nyingine ya Cristiano Ronaldo hii hapa….
Mshambuliaji wa Real Madrid Christiano Ronaldo ameingia tena kwenye headlines za michezo baada ya jana kufanikiwa kuhitimisha mabao 500 kufuatia ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Malmo FF ikiwa ugenini.…
Uko kwenye gari na mtoto wako alafu unavuta Sigara, Uingereza hawakuachii hata kidogo..!!
May 24 2015 Tanzania iliungana na Nchi nyingine kuadhimisha siku ya Kifua Kikuu Duniani, kwenye Ripoti za utafiti inaonesha Sigara ni moja ya vitu vinavyochangia tatizo la ugonjwa huo !! Kwenye…
Avril on air with Millard Ayo.. ndoa mwakani, kuokoka, Waimbaji wa kizazi kipya
Avril ni mwimbaji staa kutoka Kenya ambaye pamoja na hit singles nyingine, 'chokoza' aliyoifanya na Marya iliwafikia Watanzania wengi zaidi na ndani ya muda mfupi zaidi ya miaka mitatu iliyopita.…
Wizi kutokea eneo la ajali sio kwa Bongo pekeyake, imemkuta na huyu mama Marekani.. +Pichaz
Kwenye matukio ya ajali wizi nao huwa unakuwepo, yani mfano imetokea ajali wapo wanaokuja kwa lengo la kusaidia majeruhi wa ajali, lakini wapo wanaokuja na malengo na maslahi yao mengine…
Nimekusogezea TBT za mastaa mbalimbali, Oprah, Kelly Rowland, Serena wamo..Pichaz
Kila siku ya alhamisi watu hukumbushia picha zao za zamani maarufu kama TBT Throwback Thursaday. Leo mtu wangu nimekusogezea TBT za wanawake mbalimbali ambao ni maarufu duniani. …
Kim Kadarshian anachukuliaje uamuzi wa Kanye West kugombea Urais? (Video).
Stori za Kanye West zimekuwa nyingi sana mara baada ya rapper huyo kutangaza kuwa ana mpango wa kugombea Urais kufikia mwaka 2020.. miongoni mwa watu walioshitushwa na habari hiyo ni…
Waangalizi wa Uchaguzi Tz, Lubuva na Wanasiasa, Magufuli na wala rushwa, Lowassa mbinu mpya za kampeni. (Audio).
Good Morning mtu wangu, leo ni tarehe 1 October 2015 na kama kawaida siku lazima ianze na uchambuzi wa magazeti @CloudsFM The Peoples Station... kama zilikupita na hukuzisikia karibu ucheki…
Tuzo nyingine zinazowahusu wakali wa Nigeria 2015, Diamond Platnumz nae yumo..!!
Ukitaja Tuzo kubwa zinazohusu Muziki wa Tanzania ni Tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards... Nigeria nao wanazo za kwao, zinaitwa Headies Awards na good news ni kwamba tayari wakali wanaowania Tuzo…
Magazeti ya Tanzania Octoba1, 2015 yameamka na hizi kwenye Udaku, Michezo na hardnews
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Alhamisi Octoba 1, 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews,…
Baadhi ya mahujaji kutokea Mecca Saudi Arabia wameanza kurejea Tanzania…(Audio)
Ni Moja ya Habari zilizogusa Vichwa vingi vya Habari Duniani September 24 2015 imeripotiwa Taarifa kuhusu watu zaidi ya 700 kufariki kwenye Msikiti Mkuu ambao Waumini wa Dini ya Kiislamu…