Adnan Januzaj ameondoka rasmi Manchester United
Masaa kadhaa kabla ya dirisha la usajili kufungwa barani ulaya, klabu ya Manchester United imeendelea kufanya biashara katika siku ya mwisho. Baada ya jana kumpeleka kwa mkopo Tyler Blackett…
Justin Bieber karudi na hii mpya ‘What Do You Mean?’ (video)
Justin Bieber aliweka headlines usiku wa tuzo za MTV VMA's baada ya kuperform single yake mpya 'What Do You Mean?' ikiwa ni mara ya kwanza kwake kuperform kwenye tuzo hizo…
Mtoto wa Wayne Rooney alivyokutana na Neymar, Messi, Suarez na Pique Hispania (Picha)
Mtoto wa mshambuliaji wa kimataifa wa Uingereza na nahodha wa klabu ya Manchester United Kai Rooney alionekana mwenye furaha, katika mapumziko ya mwisho wa wiki na mama yake mzazi Coolen Rooney wakiwa Hispania kwani alipata bahati ya…
Nimekusogezea Pichaz za watoto wa mastaaa wenye ushawishi zaidi..Pichaz
Kuna watoto wengi wa mastaa ambao wamekua na ushawishi mkubwa ndani ya jamii zinazowazunguka, mbali ya kupata mikata minono ya kutangaza bidhaa mbalimbali pia wamekuwa wakizungumziwa hasa katika mitandao ya…
Tuzo za MTV Video Music Awards (VMA) 2015 ndio zilikuwa za mwisho!? Ukweli huu hapa…
Tukio la MTV Video Music Awards limekuwa likichukua headlines kwenye vitu tofauti, headlines zake bado ziko nyingi zinazosambaa kwenye mitandao. Licha ya watu wengi kuchukua tuzo na kupendeza kwenye usiku…
Masaa kadhaa kabla ya kufungwa kwa usajili hawa ndio wachezaji waliowahi kusajiliwa dakika za mwisho…
Tukiwa tunaelekea kufungwa kwa dirisha la usajili wa Ligi Kuu Uingereza, nimeona nikukumbushe wachezaji watano waliowahi kusajiliwa kwa fedha nyingi saa chache kabla ya dirisha la usajili halijafungwa. Mesut Ozil…
Ugomvi wa Young Killer, Edo Boy kuna haya mengi mapya kutoka kwao yamemfikia Soudy Brown..#Uheard
Wiki iliyopita Soudy Brown alizungumzia ugomvi wa Edo Boy na Young Killer hadi kupelekana Polisi, leo tena unaendelea. Baada ya Edo Boy wiki iliyopita kugoma kuzungumza, leo amezungumza na kusema…
Kanye West atangaza nia ya kugombea Urais mwaka 2020…(Video).
Kanye West na Kim Kadarshian walikua miongoni mwa mastaa waliohudhuria tuzo za MTV Video Music Awards 2015... na siku zote watu wamezoea kupokea vituko kutoka kwa Kanye viwe vya kufurahisha…
Jokate, Ice Price kwenye Video ya ‘LeoLeo’, Collabo ya Jua Cali na Chege yakamilisha albamu..255(Audio)
Ice Prince amesema anatamani sana kuja kufanya kazi kwenye majukwaa ya Tanzania ingawa mpaka sasa Jokate analalamika ameshindwa kuja kufanya collabo yake ya 'LeoLeo', Jokate amesema amekua akizungumza na uongozi wake.na…
Kauli za Oliver Giroud kuhusu Arsenal kutaka kumsajili Karim Benzema kwa pound milioni 50….
Mshambuliaji wa kimataifa wa Ufaransa anayeichezea klabu ya Arsenal ya Uingereza Oliver Giroud ambaye wengi wamekuwa wakimlaumu kocha wa Arsenal Arsene Wenger kuwa hawezi kutwaa ubingwa akiwa na mshambuliaji huyo…