Kauli za Oliver Giroud kuhusu Arsenal kutaka kumsajili Karim Benzema kwa pound milioni 50….
Mshambuliaji wa kimataifa wa Ufaransa anayeichezea klabu ya Arsenal ya Uingereza Oliver Giroud ambaye wengi wamekuwa wakimlaumu kocha wa Arsenal Arsene Wenger kuwa hawezi kutwaa ubingwa akiwa na mshambuliaji huyo…
Tukio la watu 9 kuteketea kwa moto Dar, haya mengine yamezungumzwa…#Hekaheka (Audio)
Siku ya Alhamis iliyopita kulitokea ajali mbaya ya moto maeneo ya Buguruni na kuteketeza familia ya watu tisa. Timu ya Hekaheka ilitembea nyumba iliyotekea kwa moto na kukuta majirani wakiwa…
Hapa ninzao picha za mastaa kwenye red carpet ya tuzo za MTV Video Music Awards (VMA’s).
Stori kubwa kwenye headlines za burudani nchini Marekani ni tuzo za MTV VMA's 2015, kwenye headlines za tuzo hizo zipo performances za wasanii waliotamba kwenye stage, mastaa waliofanikiwa kuondoka na tuzo…
Huyu ni mbadala wa Javier Hernandez katika klabu ya Man United…….
Klabu ya Manchester United bado ipo katika dakika za mwisho kutafuta mbadala wa mshambuliaji wa Mexico aliyekuwa kwa mkopo wa muda mrefu katika klabu ya Real Madrid ya Hispania Javier…
‘Cheza kwa Madoido’ ya Yamoto Band tayari ipo hewani mtu wangu!!…(Video)
Yamoto Band walisafiri hadi Afrika Kusini kufanikisha Video ya ngoma yao mpya ya 'Cheza kwa Madoido' chini ya Mtayarishaji GodFather. Diamond Platnumz ndiye aliyefanikisha video hiyo kwa kiasi kikubwa kuweza…
Na washindi wa Tuzo za MTV VMA’s 2015 ni… Orodha yote ya washindi ninayo hapa! + (Video)
Jumapili ya tarehe 30 August 2015 ilikuwa siku kubwa na ya muhimu kwenye ulimwengu wa burudani kwani tuzo za MTV Video Music Awards 2015 zilichukua headlines kubwa sana jijini Los…
Idadi ya wapiga kura wa LOWASSA, MAGUFULI na ilani ya UKAWA, ZITTO Waziri Mkuu,CHILIGATI?..#StoriKubwa
MWANANCHI Mgombea urais wa Chadema anayeungwa mkono na vyama vinavyounda Ukawa, Edward Lowassa amesema kama Watanzania watashindwa kufanya mabadiliko kwa kupiga kura kuing’oa CCM madarakani mwaka huu, hawataweza…
#TWEETS zilizobeba stori zote kubwa kutoka kwenye Magazeti 9 ya Tanzania August 31, 2015
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita, hapa…
Lowassa na Magufuli mchakamchaka, Afariki baada ya kuzindua kampeni, + Walimu kugoma!? (Audio).
Uchambuzi wa magazeti @CloudsFM umekupita? Ninazo zile zote zilizoweka vichwa vya habari magazetini leo August 31 2015 chache zikiwa... Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe amesema mabadiliko ya…
Magazeti 19 ya Tanzania August 31 2015, habari kubwa za udaku, michezo na hardnews
Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Ju matatu Agosti 31,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo na Hardnews,…