2 Chainz asingekuwa rapper angefanya nini?, Msikie mwenyewe ndani ya ‘If I Didn’t Rap’ – (Video)
Baada ya kuweka headlines nyingi na wimbo wa Trapavelli na Pop-up Shop msanii wa Hiphop kutoka Marekani 2 Chainz amerudi kuziandika headlines za leo kwenye kurasa za burudani na video…
Vipengele 25 vya MAGUFULI, Kadi feki za wapigakura, Maneno ya MKAPA, SUMAYE na wasomi je?..#StoriKUBWA
HABARILEO Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeweka historia na kujenga heshima ya taifa kwa kuweza kuandikisha wananchi katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa Mfumo wa BVR kwa…
#TWEETS zilizobeba stori zote kubwa kutoka kwenye Magazeti 8 ya Tanzania August 24, 2015
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita, hapa…
Chris Brown anazidi kuonyesha mapenzi kwa mwanae, aamua kumpatia zawadi ya album!
Msanii wa R&B Marekani Chris Brown siku hizi amekuwa mtu wa kuspend muda mwingi sana na mtoto wake wa kike, kila atakapo kwenda basi na mtoto Royalty yupo nyuma, sio…
Rapper T.I kwenye headlines akwepa deni, vyombo vya Sheria vyamkalia shingoni!
Msanii maarufu wa hiphop kutoka Marekani T.I anaziandika headlines siku ya leo, baada ya kukaa chini ya carptet kwenye headlines za vyombo vya Sheria kwa muda, kwa bahati mbaya urafiki…
Magazeti 18 ya Tanzania August 24 2015, habari kubwa za udaku, michezo na hardnews
Leo unisamehe kwa sababu ya kilichotokea mpaka kuchelewesha Magazeti kupatikana hapa lakini ni kawaida yangu kuweka magazeti mapema kabla ya saa mbili asubuhi kila siku ili kukupa zote kubwa kwenye…
FC Barcelona Vs Athletic Bilbao, matokeo yapo hapa (Picha&Video)
Klabu ya FC Barcelona imeshuka uwanjani kucheza mechi yake ya kwanza Ligi Kuu Hispania, FC Barcelona imeingia uwanjani kucheza na klabu ya Athletic Bilbao ikiwa ni wiki moja imepita toka…
Nimekusogezea matokeo ya mechi ya Everton Vs Man City (Picha&video)
Klabu ya Manchester City imeshuka dimbani August 23 katika uwanja wa Goodson Park kukipiga na mwenyeji wake klabu ya Everton katika mechi ya Ligi Kuu, Man City bado inaendeleza wimbi…
Hizi ni picha zingine kutoka Jangwani, Wema, Diamond, Mwana Fa wapo pia mtu wangu
Kama kawaida uzinduzi wa kampeni za CCM kuelekea uchaguzi mkuu wa Urais, Ubunge na madiwani, uzinduzi wa CCM ambao ulipambwa na uwepo pia wa makada wa CCM kutoka katika tasnia…
Pedro aanza na bao Chelsea.
Mchezaji mpya wa Chelsea Pedro Rodriguez ameanza maisha mapya ndani ya klabu yake mpya baada ya kuifungia bao moja huku akitoa pasi ya mwisho kwa bao lingine katika mchezo wa…