Hii ndio Kampuni iliyovunja Rekodi kununua ndege 250 kwa wakati mmoja.. !! (+Video)
Hii imeingia kwenye rekodi kubwa za duniani 2015, inahusu ishu ya Kampuni moja ya Ndege kusaini dili ya kununua ndege 250 kwa wakati mmoja, tena ni ndege kubwa za abiria…
Tyga anataka na hii mpya kutoka kwake ikufikie: “Bu$$in Out Da Bag”. (Video)
Msanii wa Hip Hop Marekani kutoka kwenye kundi la Cash Money Records Tyga amerudi kuziandika headlines zake kwenye ubao wa burudani. Time hii anakuja na ngoma mpya iliyopewa jina Bussin Out…
Picha za muonekano wa mabasi mapya ya Mwendokasi Dar es Salaam
Jana nilikusogezea stori kuhusiana na huu mradi wa mabasi yaendayo haraka (Mwendokasi) sasa hapa ni time ya kuona hizi picha za muonekano wa mabasi hayo kwa ndan na nje.. PAPO…
Rose MUHANDO matatani, Mama aua mtoto kwa sumu, UKAWA wamwonya JK, Kipindupindu..#StoriKubwa
MTANZANIA UMOJA wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wamemuonya Rais Jakaya Kikwete, wakisema ndiye mwenye dhamana ya kulinda usalama wa wananchi na akiendelea kutumia vibaya vyombo vya dola, Novemba mwaka huu…
50 Cent karudi na ngoma mpya, kama ilikupita itazame hapa mtu wangu: “9 Shots” (Video)
50 Cent amerudi kuziandika headlines zake kwenye kurasa za burudani, baada ya headlines nyingi za yeye na issue za mali na Mahakama 50 kaamua atupooze kidogo. Siku chache zilizopita 50…
#TWEETS zilizobeba stori zote kubwa kutoka kwenye Magazeti 10 ya Tanzania August 18, 2015
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita, hapa…
Mapokezi ya UKAWA Zanzibar.. Sumaye na Magufuli? ACT watoswa Urais? Mbunge anayekidai Chama? (Audio)
Nimefanikiwa kuzipata stori kubwa ziliochambuliwa kutoka Magazetini August 18 2015, hii ilikuwa On Air kwenye show ya #PowerBreakfast @CloudsFM, kwenye stori kubwa kubwa ziko na hizi. Mgombea Urais aliyependekezwa na kuchukuliwa…
Magazeti ya Tanzania Agosti 18, 2015.. Udaku, michezo na hardnews !
Good morning mtu wangu.. Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumanne Agosti 18,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo…
Jerry Muro katoa sababu za kushindwa katika kura za maoni ya ubunge CCM
Jina la Jerry Muro sio geni masikioni mwa walio wengi kwani aliwahi kufanya kazi ya uandishi wa habari za uchunguzi kwa muda mrefu na zilizofanya jina lake kukua na watu…
Haya ni matokeo ya Liverpool vs AFC Bournemouth (picha&video)
Klabu ya Liverpool imeshuka dimbani August 17 kukipiga na klabu ya AFC Bournemouth iliyopanda Ligi Kuu Uingereza msimu huu, huu ukiwa ni mchezo wa pili kwa kila timu, Liverpool imeendeleza…