Haya ndio majibu ya Diamond Platnumz kuhusu ishu ya mtoto kupimwa DNA…
Kumekuwa na stori ambayo imechukua sana headlines kuanzia mitandaoni mpaka kwenye Magazeti inayomhusu Diamond, Zari na mtoto wao. Diamond amepatikana na kutolea majibu ishu hiyo, barua ya kudai mtoto wake akapimwe…
Mapokezi ya Edward Lowassa Zanzibar leo kwenye hizi picha 16
Safari ya Mgombea Urais wa UKAWA, Edward Lowassa kusaka Wadhamini kwenye Mikoa mbalimbali Tanzania imekamilika tayari August 17 2015, kilele cha Safari hiyo ni Visiwani Zanzibar ambapo umefanyika Mkutano eneo…
Raheem Sterling naye kaja na lebo yake RS7..anashindana na Ronaldo?..(Pichaz)
Unapozungumzia lebo ya CR7 humtambulisha rasmi mchezaji bora wa duniani Cristiano Ronaldo ambayo ndiyo humtambulisha..sasa kiungo mpya wa Manchester City naye kaamua kuingia kwenye biashara nakuanzisha lebo inayofanana na hiyo. Raheem…
Maneno ya Peter Msechu baada ya malalamiko kwenye shindano la Kinondoni Talent Search…#Uheard (Audio)
Katika shindano la Kinondoni Talent Search, Peter Msechu ambaye alikua Jaji wa shindano hilo amesema si kweli ametengeneza uadui kati yake na washiriki wa shindano hilo. Amesema anafahamu pressure ya…
Ulipitwa mapokezi ya Edward Lowassa Mwanza? kuna picha zake hapa..
Safari ya Mgombea Urais kupitia CHADEMA na Umoja wa UKAWA, Edward Ngoyai Lowassa kujitambulisha Mikoani na pia kutafuta Wadhamini yeye pamoja na Mgombea Mwenza Juma Haji Duni imeendelea kwa siku nne…
Rais Kikwete kwenye ofisi za CCM Lumumba Dar es salaam leo.
Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye ni President wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete leo August 17 2015 alikiongoza kikao cha kamati kuu maalum kwenye ofisi za makao makuu…
Video inayoonyesha Edward Lowassa alivyopokewa Arusha Aug 15.
August 15 2015 mgombea Urais 2015 kupitia UKAWA Edward Lowassa alikwenda Arusha kwa ajili ya kuomba wadhamini ambapo video hii hapa chini inaonyesha kwa juu tu watu walivyokusanyika kwenye huo…
Msamaha umetolewa kwa shindano la Miss Tanzania, maelezo ninayo hapa (+Audio)
December 2014 baada ya shindano la Miss Tanzania kukamilika liliingia kwenye headlines baada ya Baraza la sanaa la Taifa kutangaza kulifungia shindano hilo kwa miaka miwili baada ya kujiridhisha kwamba limekiuka…
Full video ya Kinondoni Talent Search 2015 mbele ya Rais JK alafu Mpoki MC !
Ni mashindano yaliyoanzishwa na mkuu wa wilaya ya Kinondoni Paul Makonda yakivitafuta vipaji vya Wachekeshaji, Dancers na Waimbaji ambapo Fainali yake ndio hii iliyofanyika Aug 15 2015, unaweza kubonyeza play…
NCHIMBI avunja Ukimya, BUTIKU atishwa na UKAWA, hatma ya KINGUNGE CCM…#MAGAZETINI AUGUST 17
MWANANCHI Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema, Edward Lowassa amesema anawatakia kila la heri wanaobeza nguvu ya umma. Kutokana na umati wa watu waliojitokeza jana kumlaki kuanzia Uwanja wa Ndege…