Hizi ndio #TWEETS zilizobeba stori zote kubwa kutoka kwenye Magazeti NANE Tanzania August 17, 2015
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter >>>@millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita, hapa…
Lowassa aiteka Mwanza, Rais Kikwete na wanaohama CCM, kuna uchakachuaji Uchaguzi 2015? (Audio)
Ni Jumatatu nyingine tena na magazeti ya August 17 2015 yako mtaani tayari, hizi ni stori zake kubwa nilizozinasa baadhi zikiwa... Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa asimamisha jiji la…
Magazeti ya Tanzania Agosti 17, 2015.. Udaku, michezo na hardnews !
Good morning mtu wangu.. Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumatatu Agosti 17,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo…
Pichaz za Birthday Party ya DJ na ndugu wa Diamond Platnumz, mastaa wa Bongo nao ndani !!
Sherehe za birthday nazo zina uzito wake, Unaambiwa Romy Jons ambaye ni Ndugu yake na msanii Diamond Platnumz lakini pia ni Official Dj wake alifanya Party yake August 16 2015 wakaalikwa…
Top 10 ya mastaa wa soka Afrika waliotamba katika vilabu vya Man City au Chelsea
Afrika imekuwa na idadi ndogo sana ya kupata wachezaji wanaocheza katika Ligi kubwa Duniani lakini wakitokea mara nyingi huwa wanacheza kwa mafanikio na majina yao kuwa makubwa, moja kati ya…
Hizi ni picha za gari ya kwanza aliyomiliki Wayne Rooney akiwa na miaka 17 tu, hii ni kabla ya Man United !!
Katika maisha kila mtu ana dream yake lakini wote hatutofautiani sana kwani huyu atataka kuwa Doctor, nurse, mwanasheria, askari polisi tunapokuja kufanana ni pale kila mtu anapohitaji kutumia matunda yake…
Baada ya kazi ndani ya Uwanja hiki ndicho Cristiano Ronaldo huwa anafanya na mtoto wake
Cristiano Ronaldo nahodha wa timu ya taifa ya Ureno anayeichezea klabu ya Real Madrid ya Hispania lakini pia ni baba wa mtoto mmoja wa kiume mwenye umri wa miaka mitano…
Historia ya Mabasi yaendayo haraka inatengenezwa Aug 17 Dsm na safari zake ni hizi..
Ninayo Good News imenifikia mtu wangu ambayo Watanzania wengi na wakazi wa Dar es salaam tulikua tukiisubiri kwa muda mrefu ni kuhusu kukamilika kwa mradi wa Mabasi yaendayo haraka ambayo zaidi ya mwaka…
Man City Vs Chelsea matokeo ni haya Full time (Picha&Video)
Kocha wa klabu ya Manchester City Manuel Pellegrini bado ana endeleza harakati zake za kusaka taji la Ligi Kuu Uingereza linaloshikiliwa na klabu ya Chelsea kama bingwa mtetezi, August 16…
Bonta wa kundi la Weusi Kaachana na Muziki wa Hip Hop..Huu ni ujumbe wake kwa mashabiki wa hip hop.
Kama umekua ni mfatiliaji wa muziki wa Hiphop kwa Tanzania inawezekana hii taarifa ikakushtua kutoka kwa mmoja wa wanafamilia wanaowakilisha kundi la Weusi anaitwa Bonta,Jioni ya Aug 16 Bonta amenitumia ujumbe…