Nimekuwekea matokeo hapa Crystal Palace vs Arsenal (Picha &Video)
Klabu ya Arsenal ya Uingereza imerudi Uwanjani August 16 kupambana na klabu ya Crystal Palace katika mchezo wake wa pili wa Ligi Kuu Uingereza, Arsenal imeingia Uwanjani ikiwa haina kumbukumbu nzuri…
Je Madereva watafanya mgomo kesho?, maneno ya naibu katibu yako hapa
Leo Agosti 16 kulikuwa na mkutano wa madereva wa mabasi ulifanyika katika ukumbi wa kimara resort Dar es salaam na kuahamua haya yafuatayo..... kwa mujibu wa Naibu katibu mkuu wa…
Headlines baada ya headlines Indonesia, kuna hii nyingine ya ndege kupotea
Indonesia imekua kwenye rekodi mbaya ya ajali za ndege huku ajali mbili za ndege zimeripotiwa ndani ya mwaka mmoja uliopita ikiwemo Indonesia Air ilianguka katika bahari ya Java ikitoka Sura…
Ninayo list ya wachezaji warefu na wafupi katika Ligi Kuu Uingereza (Picha)
Katika pitapita zangu mtandaoni nimekutana na hii list ya wachezaji warefu zaidi katika Ligi Kuu Uingereza na wafupi zaidi katika Ligi Kuu Uingereza, nimeona nikusogezee Top 5 ya mastaa wa…
Video ya magoli ya Simba vs URA Aug 15 2015! Full Time 2-1
August 15 2015 ilikua siku nyingine kubwa kwa mashabiki wa Simba na URA ya Uganda sababu timu hizi mbili zilikutana kwenye mechi iliyopigwa uwanja wa taifa Dar es salaam ambapo…
Olamide karudi tena kwenye headlines na hii nyingine ‘Lagos Boys’…(Video)
Staa wa Nigeria Olamide ameachia video ya Single yake mpya inayoitwa 'Lagos Boys'. Nakukaribisha kuitazama hapa mtu wangu... https://www.youtube.com/watch?v=ie8DU7P1rY0 PAPO KWA PAPO zipate habari zote zinazonifikia za siasa muziki, michezo,…
Mgombea Urais ACT leo, Mabomu msafara wa LOWASSA na Mrithi wa Askofu MALASUSA..#StoriKubwa
MWANANCHI Mgombea urais kwa tiketi ya Chadema na Ukawa, Edward Lowassa jana kwa mara ya kwanza alikumbana na joto la upinzani baada ya msafara wake kushambuliwa na mabomu ya polisi.…
Picha nyingine za Edward Lowassa Arusha kwenye mkutano.
Safari ya Mgombea Urais wa CHADEMA na UKAWA, Edward Lowassa kutafuta Wadhamini Mikoani ilianza August 14 ambapo alishuka Mbeya katika Viwanja vya Shule ya Ruanda Nzovwe, alafu August 15 2015…
Magazeti ya Tanzania Agosti 16, 2015.. michezo na hardnews !
Good morning mtu wangu.. Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumapili Agosti 16,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo…
Pichaz kutoka Dar es Salaam kwenye Fainali ya Kinondoni Talent Search, Rais JK Mgeni Rasmi..
Safari ya Vijana ambao waliamua kufungua milango kuelekea ndoto zao, kutumia vipaji vyao ili viwe ajira kupitia Mchakato wa Kinondoni Talent Search, usiku wa August 15 2015 tayari imefikia hatua…