Baada ya Video…… leo Rasmi Jux Kaiachia ‘Looking for You’ upande wa audio,isikilize hapa.
Video ya wimbo huu ni miongoni mwa video za Kibongo zilizopata baraka ya kuzinduliwa na kituo kikubwa cha nje cha Kimataifa MTV,Ndoto hii imekua ni ya muda mrefu kwa Jux baada…
Arsene Wenger kaongea haya kuhusu ishu ya Mourinho kumzuia Doctor wa Chelsea…
Bado ile story inayomhusu kocha wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho kumlaumu Doctor wa timu hiyo Eva Carneiro kwa kuingia uwanjani kumpatia huduma Eden Hazard katika dakika za nyongeza, Mourinho alimlaumu…
Kwenye viwanja vya ndege vilivyotelekezwa, viko na hivi nane kwenye pichaz kabisa..
Ukiangalia gharama za kujenga Viwanja vya Ndege huwezi amini kwamba kuna mahali kwingine Viwanja hivyo vimetelekezwa na havifanyi kazi kabisa japo gharama nyingi zimetumika kuvijenga!! Kuna hivi hapa ambavyo vingi…
Mengine ya Ali Kiba na Jokate haya hapa kwa Soudy Brown…kuna ndoa? #UHeard (Audio)
Soudy Brown amepata tetesi kuhusu kuwepo kwa ndoa kati ya mastaa wawili Ali Kiba na Jokate, akaona asiliache lipite hivi hivi na kuamua kuzungumza na Ali Kiba kutaka kujua ukweli wa…
Nonini kufanya collabo na Chege, ukimya wa MC Koba, Madee ana mapya?…255 (Audio)
Kwenye zile stori za 255 leo stori ya kwanza ni kutoka kwa Nonini ambaye ameamua kufanya collabo na Chege, jamaa ameamua kumgharamia Chege kila kitu kwa ajili ya kwenda kufanya collabo…
HekaHeka ya safari ya mwigizaji Tausi kabla ya kuingia Bongo Movie…(Audio)
HekaHeka ya leo inatoka kwa mwigizaji wa Bongo Movie Tausi, anazungumzia changamoto alizozipata wakati anaanza fani yake...anasema awali kabla ya kufikiria kuigiza alikua anapenda kuwa mcheza shoo katika bendi za…
Binti wa miaka 11 na mtoto wake!, sababu ya ujauzito wake ni hii hapa…
Paraguay ni moja ya nchi zinazopinga utoaji wa ujauzito na mwanamke anaruhusiwa kufanya hivyo pale tu afya yake inapokua hatarini. Taarifa ya binti wa miaka 11 nchini humo kujifungua mtoto…
Hatimaye CNN imeiomba Kenya msamaha (+Video)
Siku chache kabla Rais Obama hajatua Kenya kulikuwa na Ripoti ambayo Kituo cha CNN waliirusha, kwenye Ripoti hiyo waliielezea Kenya kama moja ya nchi ambazo ziko kwenye 'Ukanda wa Ugaidi'.…
Meek Mill kaona bora yaishe, kaamua kuandika haya kwenye ukurasa wake @Instagram!
Headlines za Meek Mill na Drake zimeanza kuchukua sura mpya sasa, baada ya ngoma mbili tatu za kurushiana maneno hatimaye Meek Mill kaona bora mambo yaishe! Meek Mill aliweka picha…
Nikki wa pili anatamani kuyaona haya kwa wasanii wa Bongo
Kila mmoja ana ndoto ya baadae juu ya maisha sasa basi hapa ninayo stori ya msanii kutoka Weusi Nikki wa pili ambaye yeye ndoto yake ni kuhakikisha wasanii wenzake wanapata…