Ukuaji uchumi washuka, IGP apinga maandamano, LIPUMBA atua na kauli nzito..#MAGAZETINI AUGUST14
MWANANCHI Kasi ya ukuaji wa uchumi nchini imeshuka kwa asilimia 2.1 katika robo ya kwanza ya mwaka huu. Hali hiyo inaelezwa kuchangiwa na kushuka kwa uzalishaji katika sekta za madini,…
Stori zote kubwa nilizozinasa kutoka ndani ya Magazeti 9 ya Tanzania leo August14
Kila siku asubuhi huwa nazisogeza headlines zilizobebwa kwenye kurasa za Magazeti ya Tanzania, Uchambuzi wa stori zote napandisha kwenye account yangu ya Twitter @millardayo. Najua huenda stori nyingine zinakupita, hapa…
Hii ndio safari ndefu zaidi ya ndege Duniani, unasafiri kwa saa 17 moja kwa moja angani !!
Kwa sasa Ripoti za Duniani zinaonesha safari ndefu zaidi za ndege ni ya kutoka Dallas Marekani mpaka Sidney Australia ambayo ni karibia saa 17 angani, iko ya Johannesburg South Africa…
Hii ni nyingine mpya kutoka kwa Robin Thicke feat Nicki Minaj ‘Back Together’ – (Video)
Robin Thicke msanii wa RnB kutoka Marekani anaziandika headlines za leo kwenye kurasa za burudani, baada ya kuachia ngoma yake ya 'Morning Sun' staa huyu wa muziki Marekani amerudi tena kutupa…
Fabolous kaja na video ya wimbo ‘Awwright’, kama ilikupita unaweza kuicheki hapa. (Video)
Rapper maarufu wa Marekani Fabolous ameisogeza kwetu video ya wimbo wake mpya iitwayo Awwright na kama hukubahatika kukutana nayo basi karibu uitazame hapa chini mtu wangu. https://youtu.be/EA89O1iS7m8 PAPO KWA PAPO…
Ni furahiday mtu wangu.. Karibu TENA ucheki trailers na ratiba ya movies leo AGOSTI 14
Najua nina watu wangu ambao wanapenda kwenda Cinema kila weekend inapofika, kama upo Dar es Salaam ama utakuwa ndani ya DAR leo, nimekusogezea hii ratiba ya movies na Trailers zake zote.…
Polisi na msafara wa Lowassa, Prof. Lipumba na UKAWA? Membe afunguka !! Kuna EBOLA Tanzania? Stori zote (Audio)
Kazi yangu ni kukusogezea stori zote kubwa zinazoweka headlines kwenye magazeti, hizi hapa ni baadhi ya zilizoguswa kwenye Uchambuzi wa Redioni #OnAIR August 14 2015. Polisi wazuia msafara wa Edward Lowassa kwenda Usangi…
Magazeti ya Tanzania Agosti 14, 2015.. Udaku, michezo na hardnews !
Good morning mtu wangu.. Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Ijumaa Agosti 14,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo…
Polisi Mbeya wamezuia maandamano ya UKAWA.. sababu ipo hapa (+Audio)..
Kazi yangu ni kuhakikisha hupitiwi na chochote mtu wangu iwe usiku au mchana pale ambapo kinanifikia nakufikishia pia,ninayo hii ya Mbeya ambayo naambiwa Jeshi la Polisi Mbeya wamekataza maandamano ya…
Hawa ni Wachezaji 10 ghali zaidi katika Historia ya Ligi Kuu Uingereza
Ligi Kuu Uingereza inatajwa kuwa miongoni mwa Ligi maarufu zaidi Duniani hii inatokana kuwa na mashabiki kutoka sehemu mbalimbali Dunian, hata katika historia ya uuzaji wachezaji Ligi Kuu Uingereza bado…