Haruna Niyonzima kaongea haya kuhusu marehemu Mafisango….
Kama utakuwa unakumbumbuka vizuri ni miaka mitatu imepita toka afariki aliyekuwa mchezaji wa Simba mwenye uwezo wa kucheza namba Zaidi ya tatu uwanjani kwa ufasahaa Patrick Mutesa Mafisango wengi tuna…
Kutoka makao makuu ya CHADEMA Dsm, haya ni ya leo !
Ni August 13 2015 kutoka makao makuu ya chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA ambapo dakika hizi 14 zimetumika kuzungumzia mipango na mengine mapya yaliyoafikiwa kwa kuwekwa saini na wanaounda…
Madee Karudi Shule??Ninazo picha zikimuonyesha amevaa Sare za Shule…
Ni headlines juu headlines mtu wangu,kwenye pitapita zangu nimekutana na hizi za Madee ambazo anaonekana yuko shule na muda mwingine anaonekana kama anatumikia adhabu ambayo kapatiwa na Mwalimu,kwenye picha hizi…
Huu ni ushauri wa Rais wa FIFA kwenda kwa nchi za Ulaya Magharibi…
Kutoka makao makuu ya shirikisho la soka ulimwenguni FIFA, Rais wa FIFA Sepp Blatter ametoa ushauri kwa nia njema kwa nchi za Ulaya Magharibi kuiga na kujifunza kitu kutoka katika…
Ridhiwani Kikwete kaiweka hii video ya Lowassa na kuandika haya maneno.
Hii ni post ya Ridhiwani Kikwete kwenye ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa Twitter, aliiweka hii video ya Edward Lowassa na kuandika 'Raha ya mja kunena, kwa muungwana ni…
Louis van Gaal bado ana msimamo huu kuhusu David de Gea
Louis van Gaal ni kocha wa Manchester United anafahamika kwa kuwa miongoni mwa makocha wanaosimamia maamuzi yao, Van Gaal huwa akiamua kitu ni ngumu kubadili maamuzi akisema ndio ni ndio…
Dar es salaam: muonekano wa sasa wa vituo vya mabasi yaendayo haraka (video)
Ujenzi ulianza zaidi ya miaka miwili iliyopita kujenga barabara za mabasi yaendayo haraka Dar es salaam pamoja na vituo vyake ambapo barabara hiyo itatumika na mabasi hayo tu, tazama video…
Idadi ya watu waliofariki na mali uharibifu kwenye mlipuko China… (Pichaz)
Taarifa za mlipuko mkubwa kutokea katika mji wa bandari ya Tianjin,China jana usiku zimeingia kwenye headilines. Vyombo vya habari vya China vimeripoti kuwa mpaka sasa watu 50 wamepoteza maisha wakiwemo…
August 13 ni Birthday ya Rapper Fid Q, tusherehekee nae kwa pamoja kwenye kionjo cha mdundo mpya- ‘Kemosabe’ (Audio)
Imezoeleka kwa mashabiki wengi wa Fid Q kwamba kila mwaka anaposherehekea siku yake ya kuzaliwa huwa anaachia ngoma mpya kama zawadi pia kwa mashabiki, imekua tofauti mwaka huu ambao Fid Q amesema yeye na 'Cheusi…
Vitu saba vya kufahamu kutoka Simba Sports Club Leo
Klabu ya Simba August 13 wamezungumza na waandishi wa habari katika Press Conference ambayo waliiandaa wao wenyewe, Simba imezungumzia mchezo watakaocheza siku ya Jumamosi ya August 15 Uwanja wa Taifa…