XXL ya Clouds FM yawapatanisha Q Chillah na TID, ‘no beef’ tena… Full interview iko hapa.. (Audio)
Inawezekana hukua unaamini kuwa kuna siku jamaa hawa wawili ambao walikua wakiwakilisha 'Top Band', Q Chief na TID wasingeweza kukaa pamoja na kumaliza tofauti zao na hii imetokana na kuingia kwenye headlines sehemu…
Kwenye hii jeans unaiweka simu yako poa kabisa, inachaji huku unaendelea na mambo mengine (Pichaz)
Kumegunduliwa powerbank ambazo zinaokoa sana watumiaji wa smartphone, lakini ubunifu haujaishia hapo… sasahivi zimekuja mpaka jeans, ndio…. Unavaa suruali yako fresh kabisa alafu unatundika na smartphone yako na betri yake…
Ni kweli Mchiz Mox kamdhulumu hela Mbunifu wa mavazi? amesikika kwenye UhearD …(Audio)
Mbunifu wa mavazi Katona amezungumza na Soudy Brown na kuseme alikua ameandaa shoo pale Regency Hotel na kuamua kumtumia Mchiz Mox ili aweze kufanya shoo katika onyesho lake la mavazi..…
Zilizonifikia: Msafara wa Edward Lowassa wazuiwa.
Mchana wa August 13 2015 zimenifikia taarifa kutoka mkoa wa Kilimanjaro ambapo msafara wa mgombea Urais wa Tanzania kupitia UKAWA 2015 Edward Lowassa, umezuiwa na Polisi. Kwa mujibu wa gazeti…
Full video ya mkataba mpya wa Bilioni 2 Ligi kuu Tanzania bara.
Kazi yangu ni kuzisogeza zote muhimu karibu yako... hii ni full video ya Press Conference iliyofanyika Dar es salaam ikiwahusisha TFF na Vodacom kuhusu kuongeza mkataba wa kuidhamini ligi kuu…
Fid Q na siku yake ya kuzaliwa, BASATA na show ya Shilole Marekani, collabo ya Ali Kiba na Ne-yo…255 (Audio)
Kila August 13 Fid Q anasherehekea siku yake ya kuzaliwa na husherehekea kwa kuachia ngoma mpya..amesema safari hii ameamua kusherehekea siku yake kitofauti badala ya kuachia ngoma mpya ameamua kutoa…
Klabu ya Simba ilivyokabidhi zawadi za mipira kwa Wanafunzi Shule za Msingi… (Pichaz)
Klabu ya soka ya Simba August 13 imekamilisha ahadi yake ya kugawa mipira kwa shule za msingi, mwisho wa wiki iliyopita Simba ilipanga ratiba ya kutembelea shule tatu za msingi.…
Polisi wa Brazil walivyomkimbiza mtuhumiwa kwa Helikopta na kummiminia risasi kwa juu.
Brazil ipo kwenye list ya nchi ambazo huwa zina matukio makubwa ya mara kwa mara ya kihalifu, ukiachia mbali ishu za dawa za kulevya, kuna uhalifu mwingine ambao huwa unafanyika…
Mwendelezo wa HekaHeka ya mume kumfumania mke wake na mtu mwingine…(Audio)
Leo tunaendelea na ile HekaHeka ya jana ambayo baba mmoja alikua akilalamika kuhusu mke wake kuwa na uhusiano na mwanaume mwingine ambaye ni wa asili ya Kihindi na kuitelekeza familia…
Alikiba na Ne-Yo kwenye ngoma moja!? Headlines zina haya mapya…
Hii stori nimeinasa kutoka kwenye post ya Instagram ya ROCKSTAR4000 inayosimamia kazi za msanii wa Bongo Flava Alikiba ambao wameweka post inayosema Alikiba kufanya collabo na msanii mkubwa wa RnB Marekani Ne-Yo. >>>"Exciting News:…