Magazeti ya Tanzania Agosti 13, 2015.. Udaku, michezo na hardnews !
Good morning mtu wangu.. Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Alhamisi Agosti 13,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku, Michezo…
Kaseja haonekani uwanjani, vipi kaachana na soka? Kauli yake ni hii hapa (+Audio)
Golikipa wa zamani wa klabu za Simba na Dar Es Salaam Young Africans, Juma Kaseja baada ya kukaa nje ya uwanja kwa Zaidi ya miezi sita vipi kastaafu soka kimyakimya…
Simba ina wachezaji wengi vijana, unajua wanamuitaje Mgosi? Jibu lipo hapa kwa sauti yake kabisa…
Mkongwe wa klabu ya Simba Mussa Hassan Mgosi ambae kwa sasa baada ya kurejea katika kikosi cha Simba amerudishiwa majukumu yake ya zamani kama nahodha wa timu hiyo na Hassan…
List ya Top10 ya stori zilizosikika kwenye Amplifaya ya CloudsFM Agosti 12 2015
Kama utaweza kuwasha radio yako na kujiunga na CloudsFM kila Jumatatu mpaka Ijumaa kuanzia saa moja usiku utakutana na mtu wako wa nguvu Millard Ayo ambaye kazi yake ni kuzikusanya…
Nimekusogezea picha za boti ya kifahari ya mmiliki wa klabu ya Chelsea
Bilionea wa Kirusi ambae pia ni mmiliki wa klabu ya Chelsea ya Uingereza Roman Abramovich hajaishia tu kupenda kununua wachezaji mastaa waje kucheza katika klabu yake bali anapenda kumiliki vitu…
Kama hukufanikiwa kuona video ya Diamond ‘Nana’ wakati ikitengenezwa zipo zaidi ya Dakika 30 hapa za ‘Behind The Scene’.
Nimeamua kukusogezea hizi dakika zaidi 30 mtu wangu kwa ajili ya kutazama wakati video ya Diamond Platnumz aliyomshirikisha Mr Flavour wa Nigeria ikitengenezwa hii ni kama hukufanikiwa kutazama,video ambayo imepitia…
Mchezaji Bora Ulaya ni mmoja kati ya hawa watatu mtu wangu… Wanawake nao wapo (+Pichaz)
Hatimaye Shirikisho la Soka Bara la Ulaya UEFA limetangaza majina matatu ya wachezaji wanaowania Tuzo ya Mchezaji Bora msimu ulioisha ndani ya mipaka ya Bara hilo. Kwa mujibu wa taarifa…
Za kwenye Instagram ni Wema Sepetu na Steve Nyerere Ikulu ya Dodoma na Rais Kikwete..
Inawezekana ikawa ni shavu kubwa kutoka kwa President Jakaya Kikwete kwenda kwa Wema Sepetu na Steve Nyerere baada ya kupost picha wakiwa Ikulu ya Dodoma na kuzipa maneno yanayoashiria kitu…
Ricardo Kaka anaamini Arsenal ina nafasi ndogo ya kumpata mchezaji huyu…
Aliyewahi kuwa mchezaji bora wa Dunia mwaka 2007 ambae pia amewahi kuvichezea vilabu vya AC Milan ya Italia na Real Madrid ya Hispania Ricardo Kaka anaamini mshambuliaji wa Real Madrid…
Hii ni sababu iliyomtoa Rafael da Silva Man United, Van Gaal anahusika
Ikiwa zimepita siku kadhaa toka aliyekuwa beki wa pembeni wa klabu ya Manchester United ya Uingereza Rafael da Silva aondoke klabuni hapo na kutimkia katika klabu ya Olympique Lyon inayoshiriki…