Hii ni good news kwa mashabiki wa kike wa Manchester United (Pichaz)
Siku kadhaa zimepita toka klabu ya Manchester United ya Uingereza itangaze jezi zake mpya na kampuni itakayokuwa inatengeneza jezi hizo, August 3 nimekutana na story nyingine tena kwa ajili ya…
Dakika tisa za Freeman Mbowe kuhusu Dk. Slaa kutoonekana Vikao vya CHADEMA… (+Video)
Toka July 28 2015 siku ambayo Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli Edward Ngoyai Lowassa alitambulishwa kujiunga CHADEMA na kukabidhiwa Kadi ya Chama hicho, zikaanza kuandikwa headlines Magazetini…
Ni kweli baba mzazi alimzuia Msuva kusaini Yanga kisa ni shabiki wa Simba?
Mwanzoni mwa mwezi July kulikuwa na habari mbalimbali zilizoweka headlines katika mitandao ya kijamii kuhusu mchezaji wa Yanga Simon Msuva na baba yake Mzee Msuva, kila mtu alikuwa anazungumza kuhusiana…
Yamenifikia matokeo ya kura za Maoni Iramba #CCM
Tanzania bado iko kwenye headlines za uchaguzi ambapo mpaka sasa wapo Wabunge kadhaa mwaka huu inawezekana tusiwaone kwenye Bunge letu la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. August 03 Katibu wa Ccm wilaya…
Picha: Hivi ndivyo ilivyokuwa ndoa ya wakala wa Ronaldo, mastaa waliohudhuria.
Hatimaye wakala namba moja wa wanasoka bora ulimwenguni, Jorge Mendes jana alifunga ndoa na mchumba wake wa siku, Sandra Barbosa. Sherehe ya ndoa ilihudhuriwa na mastaa mbalimbali wa soka…
Ukaaji huu kwenye ndege ilikuwa tatizo kwa mtu wa pembeni, mambo yamebadilika.. Kilichofuatia je??
Kampuni ya ndege ya Etihad iliyopo Abu Dhabi imeingia kwenye headlines baada ya abiria James Bassos kuishitaki kampuni hiyo kwa matatizo ya mgongo yaliotokana na kupangiwa siti karibu na mtu mnene.…
Alichokisema Arsene Wenger kuhusu Karim Benzema nimekuwekea hapa
Wiki kadhaa sasa zimepita toka uvumi kuhusiana na mshambuliaji wa kimataifa wa Ufaransa anaeichezea klabu ya Real Madrid ya Hispania Karim Benzema kuuhusishwa kujiunga na Arsenal. Wengi wanaamini Benzema atahamia…
Headlines zimeanza kupambwa, mpaka mwisho wa wiki huyu kipa atakua kasaini Madrid?
Moja kati ya Story ambazo zimeteka hisia za mashabiki wengi wa soka bila kusahau vyombo vya habari za michezo bila shaka ni story ya usajili wa kipa Mhispania David De…
Beki wa Manchester United asajiliwa Ufaransa.
Beki wa kulia wa Manchester United Rafael Da Silva yuko mbioni kuihama klabu hii akiwa karibu kabisa na uhamisho kuelekea klabu ya Olympique Marseile ya nchini Ufaransa ambayo amekuwa…
Hii ndio aina ya gari ambayo mastaa wengi zaidi wa soka wanatumia, Mtanzania mmoja nae yumo… (Pichaz)
Mchezo wa mpira wa miguu ni miongoni mwa kazi zenye mishahara mikubwa sana, kama ambavyo mtu kipato chake kinavyoongezeka ndivyo anavyotamani kumiliki kitu kizuri zaidi... Mastaa wa soka ni watu…