Ni sauti ya Nuh Mziwanda na Wema Sepetu wanaongelea mapenzi? Hii hapa kwa Soudy Brown… #UHeard (Audio)
Kuna sauti ambayo imerekodiwa na kinachosikika ni sauti ya mwanamke na mwanaume wakijibizana, waliotajwa kwamba ndio wanaosikika kwenye sauti hiyo ni Nuh Mziwanda na Wema Sepetu, imemfikia Soudy Brown tayari…
Imetoka List ya Wanamuziki wanaoingiza pesa nyingi kwa sasa Kenya..wapo Watanzania pia..
Ni good news ndani ya nchi nyingine staa wenu wa muziki anafanya poa... kiukweli tumeusikiliza SANA muziki toka nje ya TZ sasa ni time yetu kuteka headlines kwenye nchi zao…
Freeman Mbowe kuhusu Dk. Slaa… Mrithi wa Jimbo la Lowassa? Waliogoma kusaini matokeo? Udiwani wa Manji na Said Fella..
MWANANCHI Binti wa Waziri mkuu wa zamani, Edward Sokoine ambaye anaitwa Namelock Sokoine ameshinda kura za maoni kugombea ubunge Jimbo la Monduli kupitia CCM huku mkwe wa Lowassa, Siyoi Sumari…
Huyu ndio msichana ambae anasoma PhD India na umri wake ni miaka 15 tu…!!
Kwa hesabu ya kawaida tu, mtoto anaanza Shule ya akiwa na miaka sita, au saba hivi… alafu mpaka kumaliza anakuwa na kama miaka 14, sasa kuna mtu kwenye umri huo…
Mengine ya Shilole kuhusu Basata kayasema hapa…
Baraza la Sanaa la Taifa (Basata) July 30 walimkabidhi barua ya kumsimamisha Shilole kufanya kazi za muziki kwa muda wa mwaka mmoja,taarifa ambayo iliwashtua wadau wengi wa muziki kuhoji zaidi…
Pichaz Mastaa walivyoipendezesha Birthday party ya Mose Iyobo dancer wa Diamond Platnumz..
Sherehe za Birthday nazo zina uzito wake siku hizi, unaambiwa dancer mkali Mose Iyobo ambaye ni mmoja wa dancers wa Diamond Platnumz alifanya party yake August 02 2015, wakaalikwa mastaa…
Walioanguka Kura za Maoni CCM? Makongoro kujitoa CCM.. Said Fella na Yusuph Manji kwenye Udiwani wamepita? (Audio)
Magazeti ya August 3 2015 yako mtaani tayari na vichwa vyake vikubwa vya habari, kazi yangu ni kukusogezea zile zote kubwa kubwa zinazoweka vichwa vya habari magazetin CCM waanguka kura…
Stori zote zenye uzito kwenye #Magazeti ya Tanzania Agosti 3 2015 ziko hapa, Udaku, Michezo na Hardnews
Good morning mtu wangu.. Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Jumatatu Agosti 3,2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku,…
Tazama hapa picha za utoto za Cristiano Ronaldo
Cristiano Ronaldo ni mchezaji nyota wa kimataifa wa Ureno ambae wengi tumemfahamu kupitia vilabu vya Manchester United na Real Madrid ya Hispania, Ronaldo ni mtoto wa nne katika familia ya …
Mourinho na Wenger hawapatani? angalia alivyoirusha medali yake baada ya kufungwa 1-0 (Video)
Kocha wa Chelsea Jose Mourinho amekubali kipigo cha goli 1-0 dhidi ya klabu ya Arsenal mchezo uliopigwa katika Uwanja wa Wembley Uingereza, Mourinho aliingia uwanjani akiwa na rekodi nzuri dhidi…