Miandiko ya Mastaa wako Vanessa Mdee, Fid Q, Chameleone, 2 Face, Ben Pol na Maurice Kirya wanavyoandika majina yao
Ni time ya kurudi shule kidogo... kwenye miandiko huwa ipo ya aina nyingi na kama mimi nilivyokua natamani kuona miandiko ya mastaa mbalimbali ninaowafatilia naamini hata wewe inawezekana ulikua na…
Mchungaji Mtikila anagombea Urais 2015 pia, tazama alivyokwenda kuchukua fomu leo
Nimepata nafasi ya kuona namna ambavyo wanachama wa DP (Democratic Party) wakimsindikiza mgombea wao wa Urais kwa mwaka 2015 Mchungaji Christopher Mtikila pamoja na mgombea mwenza Juma Mathew Juma kuchukua fomu…
Kutoka Zimbabwe mpaka Simba Sports Club huyu ni kiungo mpya
Klabu ya soka ya Simba imeendelea kujizatiti kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania bara kwa kusajili wachezaji tofauti tofauti na sasa imemleta Justice Majabvi kiungo wa kimataifa wa…
Fid Q anatamani Siasa?ana mipango ya kugombea nafasi yoyote?
Bongo Fleva mwaka huu inaweza kumake headlines zaidi kisiasa kama waliotangaza nia wakafanikiwa kushika nafasi hizo wanazoziomba kutoka kwa Watanzania,kuna waliotangaza kugombe Ubunge na wapo waliotangaza kugombea nafasi za Udiwani. Fid Q…
Kwa mujibu wa mama yake Pedro, mwanae atajiunga na klabu hii ya England
Zikiwa zimebaki takribani siku 30 kabla ya dirisha la uhamisho barani ulaya kufungwa, hatma ya mchezaji Pedro katika klabu ya FC Barcelona nayo inakaribia kupata muafaka. Pedro ambaye kwa muda…
Shetta hasafiri tena na Basi? Mengine yapi yamebadilika kwake? Ni haya hapa…
Ukubwa wa hit singo za wasanii wa Tanzania huwa zinabadilisha vitu vingi sana ukiachana na vile vinavyoonekana moja kwa moja vipo ambavyo pengine mpaka upate nafasi ya kuviuliza ndipo ufahamu.…
Man United imekubali kubadili jezi kwa kiasi hiki cha Pesa
Baada ya miaka 13 ya matumizi ya jezi za Nike kwa klabu ya Manchester United sasa imeamua kuzindua jezi mpya zitakazotumika katika msimu wa 2015/2016. Man United watatumia jezi zitakazokuwa zinatengenezwa…
Mwanaume kaamua kusambaza ugonjwa kwa makusudi na Polisi nao hawajamuacha !!
Nimekutana na stori kutoka Iceland inayomhusu mwanaume mmoja kutoka Nigeria ambaye amekamatwa na polisi kwa madai ya kusambaza ugonjwa wa UKIMWI kwa makusudi. Mwanaume huyo ambaye jina lake bado halijajulikana…
Pichaz nilichokishuhudia TLP wakimsindikiza Mgombea wao wa Urais kuchukua fomu August 01 2015
Siasa na headlines kubwakubwa kila siku, unaambiwa hakuna kuchelewesha mambo sasahivi, Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC tayari imetoa ratiba ya Wagombea Urais kuanza kuchukua Fomu August 01 2015... Macmillan Limo wa…
Hawa ndiyo mastaa wa Bongo anaowakubali Kingwendu na sababu zake….
Mkali wa kitambo kwenye sanaa ya vichekesho Kingwendu amepata nafasi ya kuongea na millardayo.com na kukubali kushare nasi mambo kadhaa ikiwemo mastaa wa Tanzania anaowakubali na sababu za kuwakubali. List…