Yanga imethibitisha mkali huyu wa soka anaondoka… nani atachukua nafasi yake?
Ni siku kadhaa zimepita toka taarifa za mshambuliaji wa kimataifa wa Yanga Kpah Sherman zitoke kuwa anatakiwa na klabu moja inayoshiriki Ligi Kuu Afrika Kusini na kwa uhakika millardayo.com ilimtafuta…
Tundu Lissu, Dk. Slaa hawakuwepo Lowassa alivyopokelewa CHADEMA.. Sababu ni hii hapa (Audio)
Waziri Mkuu mstaafu na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa alitambulishwa rasmi kuhamia CHADEMA July 28 2015 Dar es Salaam akiwa ameongozana na mke wake, Regina Lowassa pamoja na watoto wao.…
Japan wamefungua rasmi hoteli hii mpya…huduma zake zikoje!?
Wachina na Wajapan wanajulikana kwa vitu vingi sana duniani, wakiwa miongoni mwa nchi zinazo ongoza kwa ubunifu wa Teknolojia duniani. Nimekutana na stori kutoka Japan ambao wao wamekuja na teknolojia…
Full video ya kilichosemwa na CCM siku moja baada ya Lowassa kuhamia CHADEMA.
Chama cha mapinduzi (CCM) kilikutana na Waandishi wa habari July 29 2015 Dar es salaam ikiwa ni siku moja tu baada ya Waziri mkuu wa zamani Edward Lowassa kutangaza kukihama…
Matokeo ya Yanga vs Azam FC yapo hapa… nani katangulia nusu fainali?
Yanga na Azam FC zimekutana July 29 katika mchezo wa robo fainali ya nne ya Kombe la KAGAME 2015, Mchezo huo ulimalizika kwa suluhu kwa mujibu wa sheria ya CECAFA…
Unatamani kujua nchi zinazoongoza kwa matukio ya ubakaji duniani? ninazo hapa 10!!
Bado matukio ya ubakaji yameendelea kushika kasi katika nchi mbalimbali duniani licha ya kuwepo kwa sheria za kuwabana wahusika. Hapa kuna hizi nchi 10 ambazo zinaongoza kwa matukio ya…
Kama ilikupita rekodi ya Mariga na Wanyama hii hapa
Mchezo wa soka kwa Afrika Mashariki umezidi kukua siku hadi siku pamoja na kukua soka la Tanzania bado linaongoza kwa kupokea wachezaji wa kigeni na kuwalipa vizuri, wachezaji kutoka Ligi…
Maneno ya Keisha kwa kibaka aliyemuibia simu!! yako hapa kwa Soudy Brown…#UhearD (Audio)
Keisha amefanikiwa kuibuka na ushindi katika kura za maoni kupitia CWT viti maalum ikiwa ni mbio za kuelekea kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba. Leo Soudy Brown kapiga Stori nae na…
Kutoka kwenye Mkutano wa CCM Dar July 29 2015>>> Dk. Magufuli, Uchaguzi 2015.. Lowassa kuhama? Wengine waliotoka?
Kulikuwa na tangazo ambalo lilienea sana mitandaoni kuanzia July 28 2015 ikiwa na taarifa kwamba CCM watafanya Kikao chao Makao Makuu Madogo July 29 2015 Lumumba Dar. Katibu wa Siasa…
‘Wanjera’ remix inakuja?, collabo ya Emmanuel Austin na mastaa wa Bongo je?, Damian Sol pia kasikika…#255 (Audio)
Wiki chache zilizopita Emanuel Austin aliachia video yake 'Ruka Juu' akimshirikisha Ben Pol, amesema aliamua kumshirikisha kutokana na uwezo wake...pia amesema anatarajia kutoa ngoma nyingine na wasanii wa Bongo kama…