Japo Wema Sepetu kaukosa Ubunge, kapokelewa hivi Dar es salaam
Wema Sepetu alikuwa miongoni mwa watu wanaogombea Ubunge viti maalumu mkoani Singida lakini matokeo yalivyotoka hakupata ushindi kutokana na uchache wa kura lakini pamoja na hayo mashabiki wake walimuunga mkono…
Matokeo ya mechi za July 26 na ratiba ya Robo fainali Kagame Cup 2015
Hatua ya makundi ya michuano ya Kombe la Kagame imemalizika July 26 kwa timu tano kuaga mashindano hayo na timu nane kusonga katika hatua ya robo fainali itakayoanza siku ya…
Hii ndio mipango ya Chege 2015 !! amezinusa headline za Afrika
Malengo ya Chege yameendelea kuvuka mipaka na sasa lengo lake analofanyia kazi ni kutaka kuvuka mipaka na kuziunganisha nchi mbalimbali za Afrika kuupokea na kuushabikia muziki wake, muziki anaoufanya hataki…
(Video)…Victoria Kimani katuletea hii nyingine mtu wangu ‘Two of dem’…
Moja ya mstaa wa kike wanaofanya vyema katika game ya burudani ni pamoja na Victoria Kimani kutoka Kenya..'Prokoto' ni moja ya wimbo wake uliovuma sana akiwashirikisha mastaa wa kibongo Diamond…
Manchester United ilivyoiadhibu FC Barcelona July 25 (Pichaz&Video)
Usiku wa kuamkia July 26 vilabu viwili vikubwa barani Ulaya vilikutana kucheza mchezo wa International Champions Cup, michuano ambayo bado inaendelea katika nchi mbalimbali na sehemu zingine kumalizika...Michuano hii ambayo…
Tanzania inakutana na hawa ili kufuzu World Cup 2018 !
Safari ya kuelekea Kombe la Dunia 2018 Urusi imeshaanza kwa Shirikisho la Soka Ulimwenguni FIFA kupanga makundi na ratiba ya michuano hiyo ili kupata timu zitakazoshiriki fainali hiyo June 2018…
Hapa D’Banj pale Ice Prince kwenye hii ‘Salute’…(Video)
Wakali wa Nigeria kwenye Industry ya burudani D'Banj na Ice Prince wamerudi tena kwenye headlines.. Baada ya kutoa audio ya single yao mpya ya 'Salute' sasa wamerudi tena na kuachia…
LEMBELI amwaga machozi,kuna vita ya Wasira na Bulaya?, vigogo CCM waanguka kura ya maoni…#MAGAZETINI JULY26
NIPASHE Madudu ya zoezi la uandikishaji wapiga kura kwa kutumia mfumo wa kielektroniki (BVR), yameendelea kuwakumba wakazi wa Jiji la Dar es Salaam na kulazimisha baadhi ya wanaume kujitanda khanga,…
Izzo Bizness, Stamina, Godzillah kwenye usiku wa Rap Festival Dar Live (Picha)
July 25 2015 itabakia kuwa historia kubwa kwa wakazi wa 88.5 kwa kupokea shangwe za burudani kutoka kwa, Izzo Bizness, Darasa, Stamina,Young Killer, Roma Mkatoliki,Godzillah,Nikki Mbishi kwenye viwanja vya Dar…
Stori zote zenye uzito kwenye #Magazeti ya Tanzania JULY26 2015 ziko hapa, Michezo na Hardnews
Good morning mtu wangu.. Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo July 26 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya Udaku,…