Chelsea yaanza vibaya International Champions Cup cheki Pichaz na Video ilivyokuwa
Kama ulikuwa hufahamu kuhusu International Champions Cup ni michuano inayochezwa wakati vilabu vinapojiandaa kuanza kwa msimu mpya wa Ligi Kuu. Michuano hii mara nyingi huusisha timu za Ulaya, Asia na…
CHADEMA waliteka Mwanza? Dar BVR zimeanzaje? Kambi ya Lowassa? Hali ya Burundi baada ya Uchaguzi ikoje? (Audio)
Hapa ninao uchambuzi wa story kubwakubwa za Magazetini July 23 2015, nimekusogezea kwenye maandishi na unaweza kusikiliza pia sauti mtu wangu. CHADEMA waiteka Mwanza kwa saa sita, Freeman Mbowe aahidi CHADEMA…
Tembea uone: hizi ni barabara nyingine 5 hatari duniani… utaendesha gari hapa?
Ni dunia na ilivyoumbwa, kuna sehemu ambazo hatujawahi au hatutofika kabisa lakini teknolojia imeturahisishia na kutupa nafasi ya kuona kukojekukoje ambapo hii ya barabara nayo nilikua siijui, tazama list ya…
Tundu Lissu na headlines za mgombea Urais UKAWA ( + audio)
Ni mamilioni ya Watanzania sasa hivi wako kwenye subira ya kujua ni mgombea gani wa Urais atakaeuwakilisha UKAWA (Umoja wa Katiba ya Wananchi) ambao ni muunganiko wa vyama mbalimbali vya…
Kama unapenda nyumba nzurinzuri kama mimi! hizi ndio zimenidatisha leo…
Unaambiwa sio kila nyumba nzuri inamilikiwa na BILIONEA ama MILIONEA ila kuna watu tu na hela zao kidogokidogo wameweza kujenga nyumba nzuri, hiyo ni kutokana na kupata designer mzuri au…
Stori zote zenye uzito kwenye #Magazeti ya Tanzania JULY23 2015 ziko hapa, Udaku, Michezo na Hardnews
Good morning mtu wangu.. Kutoka Dar es Salaam Tanzania leo Alhamisi July 23 2015 tayari nimeyakusanya Magazeti yote na stori zake kubwakubwa kukusogezea hapa, headlines baada ya headlines kwenye Magazeti ya…
BSS imeanza Dar, hizi ni pichaz ilivyokuwa Coco Beach. #July222015
Bongo Star Search imerudi tena mtu wa nguvu, huu ni msimu wa nane wa mashindano hayo tangu yameanza… mikoani kazi imeisha na washiriki wamepatikana, sasa ni zamu ya Dar es Salaam.…
Haya ndio maamuzi ambayo Rafael Van der Vaart anajutia kwenye maisha yake ya soka…
Kiungo wa kimataifa wa kiholanzi Rafael van der vaart ambaye amewahi kuitumikia Tottenham Hotspurs kuanzia 2010-2012 akitokea katika klabu ya Real Madrid ya Hispania uhamisho ulioshangaza wengi kwa kiungo huyo…
Matokeo haya yameirudishia matumaini Yanga kushinda Kagame Cup 2015…
Baada ya kupoteza mchezo wa kwanza dhidi ya Gor Mahia, Yanga ilikuwa katika wakati mgumu wa kuweza kufufua matumaini ya kusonga mbele katika hatua inayofuata... Yanga leo hii imepata ushindi wa…
Hivi ndivyo Diamond Platnumz alivyotoa shukrani zake kwa support ya Watanzania MTV MAMA 2015… (Pichaz)
Ilikuwa furaha kumwona Diamond Platnumz akiwasili TZ kutokea South Africa akiwa na Tuzo ya MTV MAMA 2015 mkononi, ushindi huo sio kitu kidogo kwa sababu ni wasanii wachache sana…