Breaking News kutoka Makao Makuu ya Polisi Dar kuhusu Silaha zilizoibiwa Kituo cha Polisi Stakishari..
Kwenye mfululizo wa matukio yaliyoshtua watu wengi Tanzania, liko pia ambalo lilitokea usiku wa July 12 2015 ambapo Majambazi walivamia Kituo cha Polisi Stakishari Ukonga Dar, wakauawa watu 7 wakiwemo…
Milipuko ya mabomu kwenye headlines Uturuki..idadi ya waliopoteza maisha je?
Uturuki imeingia kwenye headlines leo baada ya mji wa Suruc kushambuliwa na bomu na kuuwa watu 27 huku wengine 100 wakijeruhiwa vibaya. Watu 27 wameuawa na wengine wapatao 100 kujeruhiwa…
Maneno ya Shilole na Nuhu Mziwanda baada ya kudaiwa kuachana..#UHearD (Audio)
Bado kuna hali ya sintofahamu miongoni mwa uhusiano uliopo kati ya Shilole na Nuhu Mziwanda ambapo shilole amesema wamegombana na hatarajii kuachia wimbo na mwenzake huyo ambaye walipanga kutoa wimbo..amesema…
Kocha Manchester United amfukuza kipa.
Kocha wa Manchester United Louis Van Gaal amezoeleka kuwa aina ya kocha ambaye hapendi masikhara toka kwa wachezaji wake na amekuwa si mzito kufanya maamuzi ya kumuondoa mtu kwenye…
Bayern Munich waanza usajili.
Taarifa za usajili ndio kitu ambacho kimekuwa kikitengeneza headlines nyingi kwenye vyanzo vya taarifa za kimichezo hususan mchezo wa soka barani ulaya na mojawapo kati ya taarifa ambazo leo…
Amini na msechu wana beef? Vipi Chege na collabo ya Uhuru? Maneno ya Diamond kwa Jokate..#255 (Audio)
Wikiend iliyopita kulikua na story kuwa Amin amezinguana na mchizi wake Msechu na kudai hatamuandikia tena ngoma zake...mwenyewe amesikika kwenye 255 ya Clouds FM na kukana shutuma hizo huku akisisitiza…
Rais wa FIFA anatoka? Uchaguzi mwingine je? Haya mapya yako kwenye headlines leo..
Uongozi wa FIFA unakutana leo makao makuu ya shirikisho hilo Zurich Uswiss ili kupanga tarehe ya uchaguzi wa rais atakaye mrithi Sepp Blatter. Blatter na viongozi wengine wa Kamati ya…
Mama mwenye watoto walemavu karudi tena kwenye Hekaheka (Audio)
Wiki mbili zilizopita team ya Hekaheka ilifanya mahojiano na mama ambaye watoto wake wawili licha ya kuwa na umri mkubwa lakini wana matatizo ya viungo vyao kutokuwa imara. Mtoto mkubwa…
Baada ya kimya kingi Black Eyed Peas wamerudi na ngoma mpya; “Yesterday” – (Video)
Boom boom pow ni single ya kundi ya Black Eyed Peas iliyofanya vizuri sana sokoni, na kusherekea miaka 20 ya kufanya muziki mzuri Black Eyed Peas wamerudi na single mpya…
Ni kweli Dubai wana majengo mazuri ya kuvutia, wanazo na hizi Beach zao nzurinzuri… (Pichaz)
Dubai ni moja ya nchi zinazoongoza kwa kuwa na majengo yenye kuvutia zaidi duniani... lakini mbali na majengo pia nchi hiyo ina vivutio vingine ambavyo kama ukipata nafasi ya kutembelea…