Diamond alivyopokelewa Airport Dar baada ya kurudi na Tuzo ya MTV.
Mwimbaji staa wa bongofleva Diamond Platnumz July 18 2015 alitangazwa mshindi wa tuzo moja ya MTV MAMA 2015 Category ya Best Live Act ambapo baada ya kuichukua hajaichelewesha, karudi nyumbani Tanzania…
Mapenzi yana mambo, wivu ulitawala na kusababisha haya kwa huyu dada!
Christy Sims ni mwanadada ambaye maisha yake yalibadilika ghafla baada ya aliekuwa mpenzi wake wa muda mrefu kumuachia majeraha ambayo hatokuja kuyasahau maishani. Akiwa na miaka 40 Christy amelazimika kuishi…
Matokeo ya Azam vs KCCA ya Uganda yasikupite mtu wangu!!
Klabu ya Azam imeanza vyema michuano ya kombe la Kagame inayoendelea kwenye uwanja wa Taifa, Dar es salaam baada ya kuwafunga KCCA ya Uganda bao 1-0. John Boko ndiye aliyeiwezesha…
Diamond alipost hii video ya Jokate asubuhi, Jokate nae kaamua kupost hii…
Usiku wa jana kuamkia leo July 19 2015 Diamond Platnumz kanyanyua ushindi mwingine kwenye Tuzo za #MTVMAMA2015, zilizokuwa zikitolewa Durban Africa Kusini. Leo Diamond alipost Video inayomwonesha staa wa Mitindo…
Ahadi za Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni baada ya kufungua Kituo cha Yatima Kimara Dar…
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni ni mmoja ya Viongozi ambao majina yako sana kwenye Vyombo vya Habari, mara nyingi tunasikia stori zake kuwa karibu hasa na watu wake wa Kinondoni...…
Barcelona na Rais wao mpya…Iniesta kawaongoza wachezaji wenzake kupiga kura…Pichaz!!
Mikakati ya kumpata Rais mpya wa klabu ya Barcelona umeanza kwenye uwanja wa Nou Camp huku nahodha wao Andres Iniesta akiwaongoza wachezaji wa zamani na wa sasa kupiga kura. Josep…
Watu na nyumba zao… hii sio ya kifahari ila imenivutia sana!
Wataalamu wa mambo wanasema kwenye ujenzi wa nyumba unaweza pia kutumia pesa kiasi lakini nyumba ikawa nzuri na yenye mvuto hata kushinda zile zilizojengwa kifahari lakini zikakosa mpangilio na mvuto…
Benki kuu Tanzania imejibu kwanini sarafu mpya ya shilingi 500 haipo sana kwenye mzunguko
Kwenye hii post tumeipata benki kuu ya Tanzania ambayo iko tayari kuzungumzia ishu ya sarafu mpya ya shilingi mia tano kutoonekana sana kwenye mzunguko wa fedha nchini Tanzania. Kwenye hii…
LEMBELI kuihama CCM?, Mafuriko ya LOWASSA CHADEMA na Mwinyi avunja ukimya…#MAGAZETINI JULY19
MWANANCHI Mbunge wa Kahama, James Lembeli ameiweka njiapanda CCM baada ya kutangaza kutogombea ubunge kwa tiketi ya chama hicho. Uamuzi wa Lembeli umekuja wakati wanachama kutoka sehemu mbalimbali wakitangaza uamuzi…
Juma Nature, Fid Q, Grace Matata, Barnaba na Mwasiti walivyokutanishwa Eid kwenye Stage moja Dar (Pichaz)
Wakati wa Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan wasanii wengi pia walisimamisha kabisa kufanya show, jana July 18 2015 ilikuwa Sherehe ya Eid el Fitr ambapo ilikuwa ni sherehe kuonesha…