Gereza limegeuzwa bonge la Hoteli, kulala humu vipi ni noma au? (Pichaz & Video)
Bridewell lilikuwa Gereza ndani ya Liverpool Uingereza ambalo lilijengwa tangu miaka ya 1550 hivi, liliwahi kubadilishwa matumizi yake kwa mara kadhaa lakini hii ya sasa hivi ni story tofauti yani. Pata…
Wakati tuzo za MTV ni leo, tujikumbushe za Channel O 2014 Diamond alikoshinda 3.
November 30 2014 Diamond Platnumz alishinda tuzo tatu za kituo kikubwa cha TV Africa (Channel O) tuzo ambazo zilitolewa Johannesburg South Africa ambapo Diamond wa Tanzania na rapper Casper Nyovest…
Video ya Diamond alivyowajibu Waandishi kwenye press ya MTV Awards 2015 hapa Durban South Africa.
Kwenye Press conference hapa Durban South Africa Waandishi wa habari wa nchi mbalimbali Afrika na hata wengine wa Uingereza walikua wakihoji mastaa mbalimbali wanaohusika kwenye tuzo hizi akiwemo Diamond Platnumz,…
Mashabiki wana vituko vyao, sikiliza hii iliyomkuta R.kelly akiwa kwa daktari wa meno! – (Audio)
R.kelly ni msanii mkubwa wa RnB, producer, mtunzi wa nyimbo na mfanyabiashara kutoka Marekani ambaye anafahamika kwa nyimbo zake nyingi zikiwemo Snake, Trapped in the closet (series edition), Storm is…
January Makamba kuhusu Kingunge, Udiwani na Ubunge CCM Arusha kisa Lowassa? Ajali.. Mhalifu ghorofani.. >> StoriKUBWA
MWANANCHI Naibu Waziri January Makamba amemtolea uvivu mshauri wa zamani wa Siasa wa Rais Jakaya Kikwete, Kingunge Ngombale-Mwiru kwa kuupinga mchakato wa uteuzi wa mgombea wa Urais kwa tiketi ya…
Maneno ya Martin Kadinda kuhusu kuwapatanisha, Pesa za Wema Sepetu kibiashara, nguo na mengine
Martin Kadinda ni meneja wa mwigizaji Mtanzania Wema Sepetu ambapo aliitembelea TZA kwenye studio za Millard Ayo na kuongea mengi kwenye Exclusive Interview, kuhusu pesa anazolipwa Wema Sepetu ukimualika kwenye…
Baada ya kufanikiwa kumnasa Raheem Sterling, Man City imemsajili na kiungo huyu…
Klabu ya Manchester City imemsajili kiungo wa Aston Villa Fabian Delph kwa mkataba wa miaka mitano... Delph amejiunga na Manchester City ikiwa ni siku kadhaa zimepita toka atangaze kuwa hana…
D’Banj hajachelewesha mambo, kaona atusogezee na hii video mpya- Knocking On My Door!! – (Video)
Ni siku chache tuu zimepita toka D'banj aachie wimbo wake wa Knocking On My Door na sasa video ya wimbo huo imetoka. Director wa video hii ni Moe Musa na…
Stori zote kwenye Magazeti ya Tanzania July 18 2015 >>> Udaku, Michezo na Hardnews niko nazo hapa
Good morning mtu wa nguvu.. millardayo.com huwa inakuwekea stori za Magazetini kila siku asubuhi. Ninayo tayari hii post ya Magazeti ya Tanzania leo July 18 2015, story zote kubwakubwa >>>…
Diamond aungana na wasanii wa Afrika kwenye press conference ya MTV Base
Ni july 17 ambapo Diamond Platnumz, Neyo, Jhene, Bucie, P Square na wasanii wengine waliungana na MTV Base kwenye mkutano wa waandishi wa habari kutoka media mbalimbali uliofanyika Durban Afrika…