Picha 12 za muonekano wa barabara za Jiji la Dar es salaam leo
Kuna time nyingine ukikatisha barabara kubwa za Dar hukutani na foleni kabisa mara nyingi asubuhi na jioni foleni huwa ni kubwa lakini wakati mwingine hata mchana pia barabara hazipitiki.…
Steve Nyerere, Mkubwa Fella wamechukua fomu zao, Wema Sepetu je? Mcheki hapa..(Pichaz)
Leo July 16 2015 Staa wa Bongo Movie, Steve Nyerere amefika Ofisi za CCM Wilaya ya Kinondoni na kuchukua Fomu za Kugombea Ubunge, hakutaka kukawiza mambo, kachukua fomu mchana na kurudisha…
Ronaldo ni mchezaji Bora wa Dunia? Angalia jibu la Benitez alipoulizwa..
Kocha wa Real Madrid ya Hispania Rafael Benitez alijikuta anapata wakati mgumu kujibu swali katika mkutano na wahandishi wa habari baada ya kuulizwa kama ana amini Cristiano Ronaldo ni mchezaji…
Picha kutoka msibani nyumbani kwa akina Banza Stone Sinza Dar…
Kulikuwa na stori ya uzushi mitandaoni na June 24 nikamfata nyumbani kwao Sinza na kwenye majibu yake kulikuwa na hiki ambacho nilimnukuu pia >>>> ‘Sio mara ya kwanza kuzushiwa kifo, nasikia mara…
Je Sergio Ramos ataondoka Madrid? Kocha Benitez katoa majibu mbele ya Wanahabari..
Sakata la usajili wa beki wa kimataifa wa Hispania na klabu ya Real Madrid, Sergio Ramos leo asubuhi limechukua nafasi tena kwenye headlines za vyombo habari ulimwenguni kwa ishu nyingine…
(Pichaz & Video)….Surprise ya mapokezi ya Bayern Munich Beijing.
Klabu ya Bayern Munich imesafiri kwa muda wa masaa tisa kutoka Ujerumani hadi China kwa ajili ya kuweka kambi ya maandalizi ya msimu mpya wa Bundesliga, huo huwa ni utaratibu…
Hii ni good news kwa mwanasoka mwingine toka Tanzania…
Wakati idadi ya wachezaji wa kitanzania inazidi kuongezeka kucheza soka katika ligi kubwa Afrika au nchi yoyote ambayo soka lake lipo juu kuliko Tanzania ni dalili na ishara njema ya…
Inspector Haroun kazungumzia ugomvi wake na Luteni Kalama…#UhearD (Audio)
Wiki iliyopita Luteni Kalama alilalamika kuwa Inspector Haroun anamuhujumu ..leo Inspector kafunguka kuhusu shutuma hizo na kusema waliachana mwaka 2012/13 yeye akibaki kama msanii wa kujitegemea wakati mwenzake akiwa kundi…
R.I.P Banza Stone..Kaka yake amethibitisha kifo chake (Audio)
Siku chache zilizopita taarifa zilisambaa kuwa msanii Banza Stone amezidiwa na kulazwa katika hospitali ya Mwananyamala . Taarifa zilizotufikia na kuthibitishwa na familia yake mchana huu majira ya saa saba…
Steve Nyerere alivyosindikizwa na watu wake kuchukua Fomu ya Ubunge Kinondoni (Pichaz)
Chama cha CCM kilitangaza kwamba wameanza rasmi kutoa Fomu kwa wale wanaogombea nafasi za Ubunge na Udiwani, jana July 16 2015 tukamwona Mkubwa Fella akirudisha fomu yake ya kugombea Udiwani…