Floyd Mayweather amenyang’anywa mkanda wake aliomshinda Manny Pacquiao?
Bingwa Floyd Mayweather kaingia kwenye headlines nyingine, kila mtu anajua kwamba Floyd ndio anayeongoza kwa kulipwa vizuri kwenye list ya Wanamichezo duniani, ni kweli kashindwa kulipa dola 200,000? Hilo ndio…
Polisi wazuia wageni Dodoma, Lowassa asukiwa zengwe na hukumu ya kina Yona, Mramba…#MAGAZETINI JULY7
MWANANCHI Kamati ya Maadili na Usalama ya CCM itakutana kesho mjini Dodoma kuanza shughuli yake ya kupitia taarifa za wagombea 38 wanaoomba kuwania urais na kisha kuwasilisha ushauri wake kwenye…
CCM na Mgombea Urais 2015, Ujambazi mnadani.. Hukumu ya Kisutu >> Stori Kubwa
Nimefanya jitihada nyingine kuhakikisha uko karibu na stori kubwa za Magazetini leo July 07 2015, uchambuzi umefanya #OnAir redioni na hizi ndio baadhi ya stori kubwa. Rais JK ataongoza Kamati…
Yalichoandika magazeti ya Tanzania leo JULY 7, 2015 Udaku, Hardnews na Michezo
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapamillardayo.com kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa…
Jerry slaa kashea hii ramani ya soko la kisasa la kisutu!
Baada ya kuvunjwa kwa baraza la halmashauri ya Manispaa ya IIala July 6,2015 na aliyekuwa meya wa manispaa ya Ilala, Jerry Slaa kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram amepost miongoni…
Top 10 ya Hip Hop Trace TV July 6,2015
Najua kuna watu walikuwa na hamu ya kufahamu video za Hip Hop zinazofanya vizuri duniani na iliyofanikiwa kuchukua nafasi kwenye countdown za nchi kubwa. kwa mara nyingine tunajiunga na kituo…
Super Nyamwela karudi Twanga Pepeta, atotoka tena?
Ni headline zilizotawala kwenye upande wa muziki wa bendi kuwa mwimbaji na mnenguaji wa muziki wa densi nchini, Hassan Mussa aka Super Nyamwela kuwa amerudi kwenye bendi yake ya zamani…
Walichokisema Wanasheria na Grey Mgonja baada ya hukumu ya Kisutu leo July 06 2015
>>> “Washtakiwa wawili wa Kwanza na wa pili wamekutwa na hatia… Mahakama imewaona na hatia, makosa la kwanza mpaka la kumi ilikuwa ni matumizi mabaya ya madaraka. Mgonja Mahakama imemweona…
Umeya sasa basi kwa Jerry Silaa, ametangaza mipango yake mipya 2015
July 6 2015 ndio ilikuwa siku ya mwisho au kuvunjwa kwa baraza la madiwani la Halmashauri ya Manispaa ya Ilala na kuahirishwa kwa vikao mpaka baada ya uchaguzi. Kwenye mkutano…
Picha kutoka Mahakama ya Kisutu wakati inasomwa hukumu ya Mawaziri wa zamani, Daniel Yona na Basil Mramba
Kesi iliyokuwa inawakabili Basil Mramba, Daniel Yona na Agrey Mgonja kuhusu matumizi mabaya ya madaraka imetolewa hukumu leo katika Mahakama ya Kisutu, Dar es Salaam. Daniel Yona na Basil Mramba wamehukumiwa kifungo…