Wabunge 42 UKAWA watimuliwa, Zitto ataja walioficha mabilioni na Risasi zarindima BVR..#MAGAZETINI JULY5
MWANANCHI Bunge la 10 la Jamhuri ya Muungano ambalo uhai wake unaisha Julai 9, linaonekana dhahiri kwenda mrama baada ya wabunge 23 kumlazimisha Spika kuwatimua kikaoni wakipinga kuwasilishwa kwa miswada…
Sentensi nne za Zitto Kabwe akiwataja Watanzania walioficha fedha benki ya Uswis (Pichaz&Audio)
Jana Zitto Kabwe alikua akiwahutubia wakazi wa jiji la Dar es salaam katika viwanja vya Mwembe Yanga,Temeke na kutaja orodha ya majina ya Watanzania walioficha mabilioni ya fedha katika benki…
Yalichoandika magazeti ya Tanzania leo JULY 5, 2015 Hardnews na Michezo
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapamillardayo.com kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa…
BSS 2015 kazi imeanza mwanza, picha 15 za usaili ziko hapa
Pazia la shindano la kuimba Bongo Star Search mwaka 2015, limeanza rasmi leo mkoani Mwanza ambapo usaili umefanyika kwenye hoteli inayojulikana kama Lakairo. Shindano hilo linaloibua vipaji vya vijana mwaka…
Picha 12 za Diamond kwenye stage na Wanigeria!
Show ya road to mama inayoandaliwa na kituo cha runinga maarufu kama MTV Base kama sehemu ya kusheherekea tuzo za MTV Base mwaka imefanyika Nigeria kwenye hoteli ya Federal Palace.…
StoriKUBWA >> Makao Makuu CCM Dom.. Waliosimamishwa Bungeni, Hakimu Feki Mahakamani !!
MWANANCHI Wakati vikao vya juu vya CCM vikikaribia kuanza mchakato wa kumpata mgombea Urais wa chama hicho, mji wa Dodoma umeanza kupokea wageni kutoka maeneo mbalimbali. Uchunguzi uliofanywa na Gazeti…
Wabunge wengine 35 nao wamepigwa stop kuingia Bungeni kwa siku tano kuanzia leo July 4 2015!!
Kumekuwa na story nyingi tofauti toka ndani ya Kikao cha Bunge Dodoma, kwa muda wa siku tatu mfululizo zimetokea vurugu, Kikao kikaahirishwa kwa siku mbili mfululizo. Alhamisi July 02 2015…
Yalichoandika magazeti ya Tanzania leo JULY 4, 2015 Udaku, Hardnews na Michezo
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapamillardayo.com kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa…
Hali ya mwimbaji Banza Stone sio nzuri, imebidi apelekwe Hospitali akatibiwe..
Hali ya kiafya ya Staa na mkongwe wa muziki wa dance Tanzania, Ramadhan Masanja aka Banza Stone sio nzuri, anaumwa kwa muda mrefu na wapo ambapo waliofikia hatua hata ya…
Zimebaki wiki tatu tu Rais Obama aitembelee Kenya, Bibi yake kazungumzia mipango
Watu wa Kenya wanahesabu wiki tatu kabla ya kuishuhudia siku ambayo walikuwa wakiisubiri kwa hamu, ugeni wa 'ndugu yao' Rais wa Marekani, Barack Obama... Sarah Obama ni bibi yake Obama,…