Mtazamo wa kocha wa Arsenal juu ya Liverpool kumfuta kazi Brendan Rodgers
Baada ya klabu ya Liverpool kumfukuza kazi aliyekuwa kocha wa klabu hiyo Brendan Rodgers kutokana na mwenendo mbovu wa timu yao, watu mbalimbali katika uchambuzi wa masuala ya soka wamekuwa…
Kuna watu maarufu hawapendi kubadilisha nguo, Rais Obama yumo.. Kuna sababu?
Unaweza kumuona Rais Barack Obama kwenye suti moja au ya aina moja kila wakati, hapendi kubadilisha? Marehemu Boss wa Apple Inc, Steve Jobs nae yumo kwenye list... ana sababu yoyote?…
Kocha wa Liverpool kamkejeli Jose Mourinho? hili ni jina analotaka kuitwa, zipo pia pichaz za utambulisho wake
Jioni ya October 7 klabu ya Liverpool ya Uingereza ilitangaza rasmi kuingia mkataba wa miaka mitatu na kocha Jurgen Klopp na kujiunga na klabu hiyo, taarifa zilizotoka Ijumaa ya October 8…
Nimekusogezea Official Video ‘Talk & Do’ ya Kcee Feat. Uhuru & DJ Buckz…
Ni headlines baada ya headlines, hitmaker wa 'Love Boat' Kcee karudi kwenye headlines baada ya kuachia Video ya ngoma yake mpya 'Talk & Do' ndani akiwa kamshirikisha msanii mwenzake Uhuru…
‘See You Again’ ya Wiz Khalifa ni video ya kwanza ya Hip-Hop kufikisha idadi hii ya watazamaji YouTUBE! + (Video)
Rapper maarufu kutoka Marekani, Wiz Khalifa anaziandika headlines kwenye kurasa za burudani... miezi michache iliyopita msanii huyo aliachia single yake ya 'See You Again' wimbo uliyotumika kama official soundtrack kwenye…
Mambo ni moto mtu wangu !! Hili ndio chimbo tutakaposhuhudia Mshindi wa BSS 2015 leo.. (Pichaz)
Zimebaki saa chache kushuhudia Fainali za Mashindano ya Bongo Star Search 2015… umepata ticket yako??? Kama jibu ni YES basi good news ikufikie kwamba kila kitu kimekamilika tayari, nimegusa nje…
Jina la Gnako limetumika kwenye utapeli, Maneno yake kwa Soudy Brown ni haya..#Uheard Audio
Leo Soudy Brown kapiga stori na mmoja wa mashabiki wa kundi la Weusi Deo ambaye amedai kutapeliwa na mmoja wa wasanii wa kundi hilo Gnako. Amesema anafahamu Weusi wanafanya biashara…
Taarifa za Rais Kikwete kupewa tuzo ya heshima na Taswa na wanamichezo wengine ipo hapa
Ni kawaida kwa siku za hivi karibuni kuona watu fulani kutoka tasnia fulani kupewa tuzo za heshima kwa kutambua mchango wao katika sekta husika. Chama cha waandishi wa habari za…
Wema Sepetu na biashara ya vipodozi, Tuzo za AFRIMMA, kundi la Watengwa je?..#255 Audio
Wema Sepetu ni miongoni mwa mastaa wenye wafuasi wengi kwenye mitandao ya kijamii..leo kwenye 255 amezungumza kuanzisha biashara yake mpya ya mambo ya Urembo..amesema maisha ni kutafuta na hawezi kuridhika…
Haya ni maneno ya Idris Sultan kuhusu ujio wa TV Show yake mpya BET…!
Mshindi wa Big Brother Africa 2014 Idris Sultan anaziandika headlines kwenye kurasa za burudani... baada ya kuiwakilisha #255 vizuri kwenye shindano hilo kubwa la Africa, mafanikio mengi yamekuwa yakimfuata nyuma…