Pipi na mume wake wanatumia simu moja!? Mkasa wa Ally Nipishe na wizi!? #Hekaheka (Audio)
Leo kwenye Hekaheka ya @CloudsFM alikuwepo Ally Nipishe, moja ya jamaa ambao waliwahi kufanya poa kwenye Bongo Fleva alafu baadae akawa kimya hivi, viko vingi vilitokea katikati na sisi hatukujua kuhusu hilo,…
Ukiwa na App ya Tenbre kutoka Star Times, kuchat na TV vyote kwenye simu yako
Burudani ya kuangalia TV na kuchat na watu wako unahitaji viwe karibu na wewe? kama ilikuwa ni vigumu kuvifanya vyote kwa wakati mmoja, Startimes imetuletea App ambayo unaweza kuiweka kwenye smartphone…
Kcee na Diamond Platnumz wanayo furaha ya kutuletea video ya Love Boat!!
Siku chache zilizopita msanii Kcee kutoka Nigeria aliachia wimbo wake mpya uitwao Love Boat aliomshirikisha superstar kutoka Tanzania Diamond Platnumz. Leo nina good news kwa ajili yako mtu wangu, video…
Hivi ndio vitu vingine vilivyokatazwa kwenye bustani za Disney Marekani, Selfie stick nayo imo.. (Pichaz)
Selfie stick zilipigwa marufuku ndani ya Disney Them Park, Marekani.. walikuwa serious kabisa kwenye hii ishu, walizuia ili kuepusha mazingira ya uharibifu wa pichaz na vitu vingine vya kuvutia ambavyo…
Wanne washindwa kurejesha fomu, kilichojiri Bungeni kiko hapa na BVR Dar sasa Julai 16…#MAGAZETINI JULY3
NIPASHE Kambi ya wakimbizi ya Nyarugusu mkoani Kigoma, imeelemewa baada ya idadi ya wakimbizi kutoka Burundi kuzidi kuongezeka hivyo kuzidi uwezo wake kama inavyotakiwa na sheria za Umoja wa Mataifa…
Ndoa za jinsia moja haziruhusiwi China, lakini hawa wamefunga!!
Siku chache zilizopita tulishuhudia Marekani wakihalalisha ndoa za jinsia moja kwenye majimbo yao yote, lakini hali haiko hivyo ndani ya China, ndoa za jinsia moja kwao zinakatazwa japo inaonesha wapo wanaotamani kuona…
Hivi ndio ilivyoandaliwa video ya ‘Ayaya’ ndani ya Dar es Salaam.. Abdu Kiba Feat. Ruby
Zimepita siku chache tangu Abdu Kiba aachie single yake mpya ya 'Ayaya' aliyomshirikisha staa wa kike ambaye amekuja vizuri kwenye Bongo Fleva, Ruby.. watu waliipokea vizuri hit hiyo, na wewe unatamani kuiona video…
Mzozo wa Bungeni.. Fomu za Urais zimerudi CCM? Magaidi Pwani! Rais JK ametuachaje?
Rais JK amesema ametuacha vizuri kwa kufanikiwa kupambana na Malaria kuhusu ugonjwa wa Malaria TZ, Vichwa vingi vya habari vina stori kuhusu UKAWA kuchafua hali ya hewa Bungeni. Pazia la…
Yalichoandika magazeti ya Tanzania leo JULY 3, 2015 Udaku, Hardnews na Michezo
Ungana na mimi tena kwenye post hii ya Magazeti, post maalum ambayo huwepo hapamillardayo.com kila siku kwa ajili ya kuyasogeza karibu yako Magazeti mbalimbali ya Tanzania na habari zake kubwakubwa…
Ni furahiday mtu wangu.. Karibu TENA ucheki trailers na ratiba ya movies leo July 3
Terminator Genisys ni movie mpya ambayo ndani yake yumo staa Arnold Schwarzenegger, unaambiwa kama utaingia leo kwenye theater mbalimbali basi utakutana nayo mtu wa nguvu. Kama upo Dar es Salaam…