Mtoto mwingine kauawa Dar, jirani kasimulia alichoshuhudia…#Hekaheka (Audio)
Matukio ya watoto wa kike kuuawa yamekuwa yakitokea kila wakati jijini Dar es salaam.. ikiwemo tukio lilitokea maeneo ya Kivule la mtoto kuuawa na mwili wake kukutwa ukiwa ndani ya…
Rick Ross ni jela au mtaani? Haya hapa kutoka Mahakamani na video yake..
Headlines za Entertainment Marekani zilikuwa na story ya Rick Ross kukamatwa na kuwekwa ndani yeye pamoja na bodyguard wake, kesi yao ilikuwa ni ishu ya kuteka na kujeruhi watu wawili. July…
Davido amepost picha yake na Diamond, kaandika na haya maneno kuhusu #MTVMAMA2015..
Ndani ya wiki mbili zilizopita staa wa muziki toka Nigeria, Davido aliweka post ya Bendera ya Tanzania kwenye ukurasa wake @Instagram na kuweka alama ya LOVE!! Saa chache zilizopita kaweka…
Baada ya kimya kingi Ray J arudi na video mpya Brown Sugar , pembeni Lil Wayne!
Willam Ray Norwood.Jr ni mtunzi wa nyimbo, record producer, mwigizaji na msanii wa RnB wa Marekani anayefahamika kwa jina lake la kisanii Ray J. Licha ya hayo Ray J ni…
Startimes na hii nyingine mtu wangu, kila kitu kwenye simu yako.. #Tenbre
Safari ya Digitaji kwenye TV Tanzania ilifunguliwa na Star Times, wamekuja na mengine mapya mazuri ya kushare na watu wao. Sasa hivi Star Times imeleta hii Android App ambayo kama…
Big Sean amekuja na style tofauti kwenye video yake mpya: FOCUS (Vlog)!
Msaani wa Hip Hop Big Sean anaziweka headlines za leo ubaoni na video yake mpya iitwayo Focus (Vlog), video ambayo inakuonyesha ramani ya behind the scenes ya baadhi ya projects…
Serikali kununua Helikopta za zimamoto? na maneno ya Lowassa kwa wanaomuhukumu…#Magazetini July2
MWANANCHI Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa jana aliwataka wanaomhusisha na ufisadi kuacha mara moja kwa sababu hakuna hata chembe ya ukweli katika tuhuma hizo. Lowassa, aliyeonekana kuzungumza kwa hisia,…
Baada ya Salama na Solo Thang, Adam Juma naye kayaandika haya kuhusu video ya Ali Kiba Chekecha
Muongozaji wa video kutokea Tanzania, Adam Juma ameamua kuyatoa ya moyoni kuhusu video mpya ya Ali Kiba 'Chekecha' baada ya mashabiki kuizungumzia vibaya mitandaoni na kuwataka wajifunze kutoa mawazo mazuri.…
Wanaomwita Lowassa fisadi? mwisho wa kurudisha fomu CCM? Matokeo ya Mitihani TZ kwa simu?.. #PBCloudsFM
Kwenye headlines kubwa Magazetini kuna hizi stori ambazo nimekusogezea baada ya kuchambuliwa redioni June 02 2015. Makada wa CCM wameendelea kurudisha fomu za Urais na leo ndio siku ya mwisho,…
Pipi Doreen kwenye studio za Millard Ayo, kuolewa kwake kwenye umri mdogo, maisha na muziki
Nakuletea mwimbaji Pipi Doreen kwenye hii post, ni sehemu ya kwanza ya Interview yake na Millard Ayo akielezea kuolewa akiwa na umri mdogo, alivyotaka, muziki, ukimya wake na mengine. Bonyeza…