Kuna maiti 71 zimekutwa ndani ya lori Austria, stori ipo hapa! + (Video).
Headlines zilizonifikia muda huu zinatoka Austria ambako maiti za wahamiaji 71 zimekutwa ndani ya lori lililotelekezwa kwenye njia panda ya barabara. Vyombo vya habari kutoka Austria vinasema kuwa lori hilo liligunduliwa na baadhi…
Tottenham Hotspur wamsajili nyota huyu kutoka Ujerumani (Picha)
Siku za kufungwa kwa dirisha la usajili Uingereza bado zinahesabika na kila klabu inajiandaa kufanya usajili wake wa mwisho kabla ya dirisha la usajili halijafungwa. Klabu ya Tottenham Hotspur ya…
Mikakati ya kamati mpya ya Miss Tanzania, Ukimya wa kundi la UVC, Mr Nice na hatma ya muziki wake…#255 Audio
Leo kwenye zile stori za 255..Baada ya Miss Tanzania kufunguliwa rasmi na BASATA na kupata kamati mpya yenye wajumbe 12, leo kasikika Msemaji mkuu wa kamati hiyo mpya Jokate Mwegelo…
Mwendelezo wa Hekaheka ya mama aliyemwachia mtoto dokta imefika kwa Ustawi wa Jamii…(Audio)
Wiki nzima timu ya Hekaheka ilikua ikizungumzia tukio la mtoto aliyezaliwa kisha mama yake kumwachia daktari na kushindwa kuafikiana hadi mtoto alipotimiza miezi tisa akiwa analelewa chini ya dokta. Mtoto…
Hii ni ahadi ya Edo Kumwembe aliyotimiza baada ya miaka 12 toka ahaidi….(+Audio)
Ni kawaida au rahisi kwa binadamu kuahaidi kitu katika maisha yake ila katika suala la utekelezaji ni wachache sana wanaoweza kutimiza huenda ni kwa makusudi au bahati mbaya wamesahau. August 28…
Chris Brown kwenye headlines, apongezwa kwa idadi ya mauzo, single & watazamaji wengi YouTube! (Pichaz)
Chris Brown ana sababu nyingi za kusherekea weekend hii na starehe zote za dunia, siku ya Alhamisi (tarehe 27 August) staa huyu wa muziki wa R&B Pop alichukuwa time na…
Hizi ni sekunde 15 za video mpya ya Chris Brown: ‘Liquor’ (VideoTeaser)
Headlines za Chris Brown ni mpya kila siku mtu wangu... siku chache zilizopita Chris Brown alitangaza kuwa anaipa Album yake mpya jina la mwanae 'ROYALTY' ikiwa zawadi kwa mwanae ambaye amechangia kwa…
Usain Bolt kwenye headlines tena Beijing China (Picha&Video)
Mwanariadha kutokea Jamaica Usain Bolt August 28 amerudi tena katika headlines za mchezo wa riadha, Bolt ameshashinda medali nyingi za riadha ila August 27 Beijing China alithibitisha ubora wake kwa kushinda…
Familia yateketea moto Dar, Maneno ya Mama LOWASSA, Kampeni za UKAWA, Kipundupindu…#StoriKubwa
NIPASHE Benki ya Dunia (WB), imeipatia Serikali ya Tanzania mkopo wa Dola milioni 200 za Marekani (sawa na Sh. bilioni 422) kwa ajili ya kusaidia uboreshaji wa huduma za afya…
Ashley Young, Morgan Schneiderlin wa Man United waungana na wachezaji wengine katika mashindano ya ADIDAS (Picha)
Kampuni ya vifaa vya michezo ya Kijerumani ADIDAS ambayo ni wadhamini wa vilabu kadhaa vya soka barani Ulaya imeandaa mashindano maalum ya kutangaza jezi mpya za timu walizozidhamini. Mashindano hayo…