Pichaz za show ya Shilole New Maisha Club Morogoro.
New Maisha Club Morogoro April 06 kulikua na uzinduzi wa video ya Chuna Buzi ya Shilole ambayo ilikua fursa ya wananchi wa Morogoro kukusanyika pamoja na kuitazama hiyo video,show ilisindikizwa…
Hivi ndivyo Diamond alivyowa-sapraiz Mashabiki wake kwenye uzinduzi wa video ya Queen Darlin.
Ukubwa wa jina la Diamond ndiyo hufanya mahali popote Tanzania anapotokea au kuonekana kuwa na hali isiyo ya kawaida,Usiku wa kuamkia April 07 Club Bilicanas kulikua na uzinduzi wa video…
Hii ni post ya Lulu kwenye instagram kuhusu Kanumba
Leo imefika miaka miwili tangu marehemu Steven Kanumba afariki dunia. Watu wengi maarufu wametumia siku ya leo kumkumbuka the great. Hii ni post ya muigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ kuhusu Steven…
Timu ya Watoto wa Mitaani yatwaa Ubingwa wa Dunia.
Timu ya Taifa ya Watoto wa Mitaani ya Tanzania jana April 06 imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Dunia wa Watoto wa Mitaani baada kuifunga Burundi mabao 3-1 katika mchezo wa fainali…
Matokeo kamili ya uchaguzi Jimbo la Chalinze haya hapa.
April 06 ndiyo ilikua siku pekee kwa Wananchi wa Chalinze kupiga kura ya kumchagua Mbunge wao kwenye uchaguzi mdogo wa nJimbo la Chalinze,matokeo yake yametangazwa usiku wa kuamkia April 07…
Sikiliza Magazeti yakisomwa Redioni April 07.
Zitumie dakika hizi 16 kusikiliza kilichiandikwa kwenye kurasa mbalimbali za Magazeti ya leo April 07 kupitia Power Breakfast na leo Magazeti haya yanasomwa na kuchambuliwa na Mbwiga wa Mbwiguke na…
Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo April 07 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Matokeo ya awali jimbo la Chalinze.
Haya ni Matokeo ya awali kwa baadhi ya vituo kutoka jimbo la Chalinze ambayo matokeo yao yanaonyesha kuwa mgombea ubunge jimbo hilo kupitia wa CCM Ridhiwani Kikwete anaongoza kwa sasa.…
Hatimae timu ya watoto wa mtaani Mwanza yashinda kuingia fainali Brazil.
Timu ya Taifa ya Watoto wa Mitaani ya Tanzania imefanikiwa kuingia fainali za mashindano ya Kombe la Dunia la Watoto wa Mitaani baada ya kuifunga Marekani goli 6-1 katika mchezo…
Maneno ya Albert Msando juu ya Bunge la Katiba.
Wakili wa Kujitegemea ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Mabogini wilaya ya Moshi vijijini Albert Msando ametoa yamoyoni kwa kile kinachoendelea kupitia Bunge la Katiba kwenye Exclusive interview na…