Sikiliza Hekaheka ya leo inayomhusu Shoga mmoja Kariakoo Dar.
Idara ya Hekaheka leo ina taarifa kuhusu shoga mmoja aliyepo Kariako0 ambaye wanawake wa Kariakoo wamejikusanya mpaka kwa shoga huyo kwenda kumkanya na sababu ni tabia ya kuchukua wanaume wao,ungana…
Watu 6 wamefariki kwenye shambulio lingine la kigaidi ndani ya Kenya
Watu sita wamepoteza maisha na wengine 25 kujeruhiwa vibaya katika shambulizi la kigaidi katika eneo la California mtaa wa Eastleig jijini Nairobi. Kamanda wa Polisi mjini Nairobi Benson Kibue amesema…
Sikiliza Magazeti yakisomwa Redioni leo April 01.
Hizi ni dakika 14 mtu wangu wa nguvu unazoweza kuzitumia kwa ajili ya kusikiliza kilichoandikwa kwenye kurasa mbalimbali za Magazeti ya Tanzania leo April 01 nimekurekodia na kukuwekea hapa kama…
Magazeti ya leo April 01 2014
Ni utaratibu wa millardayo.com kila siku kukupa nafasi ya kusoma kurasa za mwanzo na mwisho za magazeti mbalimbali ya Tanzania.
Msikilize Mbwiga wa March 31.
Huu ni mtekenyo wa Mbwiga wa Mbwiguke leo March 31 ambaye kama kawaida ana-amplify taarifa za kimichezo. 88.5 Clouds Fm inasikika ukiwa Morogoro. Bonyeza play kusikiliza.
Hii hapa audio ya Cocoa na Chocolate iliyowahusisha wasanii 19 kutoka Africa.
Ni track ambayo inaweza kuwa miongoni mwa nyimbo ambazo zimeimbwa na wasanii wengi kutoka bara la Africa inayohusu kampeni ya kilimo inaitwa Do Agric,sikiliza wimbo huu kisha unadhani nani katisha…
Kuhusu Mapato yaliyopatikana kwenye mechi ya Simba na Azam.
Mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Azam na Simba iliyochezwa jana Machi 30 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam imeingiza jumla ya sh. 26,455,000,amabyo ilikua…
Tazama vipande vya video waliyoenda kufanya wasanii mbalimbali wa Africa akiwemo Diamond na Ay.
Hivi ni vipande vya video ya wimbo ambao umefanywa na wasanii 19 kutoka Africa ambao walikutana South Africa kwa ajili ya kampeni ya Do Agric ambao ni mradi kutoka One…
Kilio cha Dada Mtanzania alie China, anataka kimfikie Waziri wa Mambo ya Nje.
Kuna taarifa kadhaa huwa zinatoka zinazowahusisha Watanzania wanaoenda China baadhi yao husemekana huenda kufanya biashara haramu,mmoja kati ya watu walioenda China kwa matarajio ya kwenda kufanya kazi halali lakini walichokutana…