Top10 stories za AyoTV, Mashabiki walichomfanyia Ali Kiba Kigoma, anapojenga Mzee Majuto na mengine
November 2014 AyoTV ambayo iko chini ya TZA inayomiliki pia millardayo.com imeanza kufanya kazi kwa kuleta zao la kwanza liitwalo #StorizaAyoTV ikiwa ni mkusanyiko wa stori chache kubwa zinazohusu mastaa,…
Good news nyingine ya weekend inamuhusu staa wa bongo alievishwa pete ya uchumba!!
Inawezekana mwaka 2014 ukawa mwaka mwingine ambao mastaa wengi wa Tanzania kuanzia kwenye movie, muziki na sekta nyingine wamehusika sana kwenye headlines za uchumba na ndoa. Post hii ya leo…
Ni time ya kuziona picha zinazoikaribisha single mpya ya Barnaba na Vanessa Mdee
Hajafanya kolabo nyingi sana kiasi cha kusema tumezoea, hii ndio sababu nyingine ukisikia V Money ( Vanessa Mdee ) kaungana na msanii mwingine kufanya kazi ya muziki pamoja unakua na…
Kutoka kwenye ukumbi alikofanyia show Ommy Dimpoz Sweden, hizi ni picha 9
Namleta kwako mwimbaji staa wa Tanzania Ommy Dimpoz ambae anatajwa kuwemo kwenye 5 bora ya waimbaji wa kiume wa Tanzania wanaopokea malipo makubwa kwenye show zao. Mkali huyu ambae alisogeza…
Kutoka Dar es salaam!! ugumu wa kupata vile vitambulisho vya Uraia
Ripota wa TZA (millardayo.com na AyoTV) Elisa Shunda kutoka Dar es salaam ameziwasilisha hizi picha za wakazi wa kata ya Ubungo wakiwa katika msururu wakisubiri kupatiwa vitambulisho vyao vya uraia…
Nimekuwekea hapa Stori 6 kubwa za kwenye Magazeti ya leo Tanzania November 16, 2014
HABARILEO MTUHUMIWA wa kesi ya kulawiti mtoto wa kiume, aliyekua akitafutwa na mahakama ya rufaa Sixtus Kimaro ambaye alikutwa na tuhuma hizo wakati akiwa Padri katika kaniska katoliki jimbo kuu…
Imefanyika sherehe ya kuagwa Solange Knowles, Jay Z alitokea?
Mwanadada Solange ambaye aliamua kuachana na maisha ya usela na kuridhia ndoa na Alan Ferguson anaingia kwenye headline nyingine kuhusiana na kilichojiri kwenye party ya kuagwa iliyofanyika jana Novemba 15…
Magazeti ya leo Nov 16 2014 Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Kama umepitwa na habari kuhusu vitambulisho vya uraia, ipo hapa.
Zoezi la utoaji wa Vitambulisho vya Uraia limeendelea leo, kituo cha Televisheni TBC1 kimeripoti kuhusu namna zoezi hilo lilivyofanyika. Katika taarifa hiyo baadhi ya watu waliohojiwa maeneo ya Sinza wameongelea…
Hivi ndivyo vocha ya simu ilivyohatarisha maisha ya mtu.
Mwanamke mmoja amenusurika kuuwawa kutokana na kupigwa na mume wake ambaye ni askari, kisa ikiwa ni mwanamke huyo kushindwa kumnunulia vocha. Akisimulia mkasa huo uliotokea Uganda, mke wa askari huyo Eva…