Umesikia kuhusu mwanamke aliyekaa Mochwari kwa saa 11?
Story za maajabu ya ulimwengu zinaendelea kukaa kwenye headlines kila siku, na inaponifikia cha kwanza ninachokifanya ni kukufikishia mapema iwezekanavyo ili na wewe usipitwe. Ya leo inaweza kuwa moja kati…
Ajali nyingine ya kuanguka kwa jengo la Ghorofa Tano
Taarifa iliyonifikia muda mfupi uliopita inahusu ajali ya kuanguka kwa Jengo ambalo lilikuwa linaendelea kujengwa. Mtu mmoja amefariki na wafanyakazi na wakazi wengine wa eneo la Ruaraka, Kenya wamenusurika kifo…
Pale ambapo muathirika wa UKIMWI anapoamua kuyakatili maisha ya watoto wake.
Watoto wadogo wamekuwa katika hatari ambapo mara nyingi tumesikia taarifa za watoto kufanyiwa vitendo mbalimbali vya kikatili na watu wazima. Taarifa kutoka katika mitandao ya Nigeria imesema watoto wadogo wawili…
Kama hujui magazeti ya Leo yameandika nini, Story kubwa 5 nimekuwekea hapa.
MWANANCHI Polisi Kilimanjaro inamshikilia mzee Mungai Molel (75) kwa tuhuma za kumbaka mtoto wa miaka 11 wa shule ya msingi Okaseni na kumjeruhi vibaya katika sehemu za siri. Kamanda wa…
Video ikionyesha Rais Kikwete akitoka Hospitali baada ya kupatiwa matibabu.
omwonyesha RaisPicha nyingi zimeanza kuenea mitandaoni tangu juzi zikimuonyesha Rais Kikwete akitoka Hospitali baada ya kupatiwa matibabu ya upasuaji wa Tezi Dume. Leo nimekuwekea video hii ambayo nimeitoa kwenye blog…
Mashabiki walichomfanyia Ali Kiba Kigoma na nyumba ya mzee Majuto akistaafu kuigiza viko hapa.
AyoTV imeanza kuzitoa stori zake ambazo zitakua zinakujia kila wiki kupitia millardayo.tv na kwenye YouTube pia ikiwa ni mchanganyiko wa zote stori kubwa kwenye burudani, michezo, siasa, maisha, muziki na…
Magazeti ya leo Nov 15 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Ulikuwa mbali na TV?mimi nilitazama BBA nikakuchukulia hizi picha za Dj Tass
Ifikapo Ijumaa washiriki wa shindano la Big Brother Africa Hotshots wana enjoy good music na kufurahi kwa pamoja kabla ya kutolewa washiriki walioingia kwenye kikango cha Eviction wiki hii.Hizi ni…
Video ya washiriki wa BBA 2014 wakicheza baada ya kupigiwa hizi bongofleva.
Ni dakika 4 za video iliyorekodiwa kutoka kwenye TV kuhakikisha tu kilichofanywa na Mtanzania mwenzetu hakitupiti... ni Dj Tass ambae alituwakilisha Tanzania na kutumia sehemu kubwa ya time yake aliyopewa…
Jibu la serikali lililosubiriwa baada ya vipimo vya Ebola kuhusu yule binti wa miaka 17 aliefariki Sengerema.
October 18 2014 Wizara ya Afya ndio ilipokea taarifa kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mwanza kuhusu kuwepo kwa mtu aliyehisiwa kuwa na ugonjwa wa Ebola kutokea wilaya ya…