Hekaheka ya November 14 inamuhusu mwigizaji wa Tanzania aliyesingiziwa mtoto.
Hekaheka ya leo muigizaji maarufu Single Mtambalike maarufu kama Richie, ameelezea hekaheka yake ya kusingiziwa Mtoto na mwanamke kutoka Shinyanga ambaye alifika nyumbani kwake akiwa na mtoto mchanga na kudai…
Ninayo hapa 255 ya XXL leo Ijumaa Novemba 14 mtu wangu
255 ni kipisi kinachopatikana ndani ya show ya XXL on CloudsFM kikiwa na mkusanyiko wa stori za burudani ambapo kama haukusikiliza cha Novemba 14 2014 nimekuwekea hapa, ni utaratibu niliouanzisha…
Taarifa kuhusu ajali nyingine ya moto Dar.
Taarifa zilizotufikia muda mfupi uliopita ni kuhusu tukio la ajali ya moto Dar es salaam. Kupitia kipindi cha XXL kinachorushwa na Clouds,mtangazaji Adam Mchomvu ametoa taarifa kuhusiana na jali ya…
Hizi ni stori 8 za Magazeti ya Tanzania Nov. 14 nimeamua kukusogezea.
MWANANCHI Mwanzilishi wa kanisa la Pool of Siloam,Nabii Eliya Adam amefariki dunia juzi mchana muda mfupi baada ya kuwaeleza wasaidizi wake siku hiyo ndiyo ilikua ya mwisho kwake kuishi duniani.…
January Makamba kwenye Twitter baada ya kuandikwa na gazeti la Mtanzania
Gazeti la Mtanzania leo Novemba 14 limeandikwa kichwa cha habari kinachosomeka hivi; ".. Utafiti watibua wagombea urais 2015.. January aupinga, Zitto amwambia aache siasa.. Keissy ashangaa Wasira kutosomeka katika ripoti.." Kupitia…
Familia ya aliyekufa kwa Ebola Marekani imeibuka tena na haya mapya.
Mwezi mmoja tangu kufariki kwa mgonjwa wa kwanza aliyegundulika kuwa na maambukizi ya Ebola Marekani, ndugu wa mtu huyo wametoa shutuma kali kuhusiana na kifo cha ndugu yao. Maswali ni mengi…
Nimekuwekea hapa magazeti yaliyosomwa na kuchambuliwa kupitia Power Breakfast leo Novemba 14.
Huenda hukusikiliza radio asubuhi ya leo wakati Magazeti yakiwa yanasomwa na kuchambuliwa hewani, haujapitwa kabisa. Nimekuwekea hii post na unaweza kutumia dakika 15 kwa sasa kusikiliza kilichoandikwa kwenye Magazeti mbalimbali ya…
Tazama picha za mtu mrefu zaidi na mtu mfupi zaidi Duniani walipokutana kwa mara ya Kwanza.
Tumekuwa tukisikia rekodi mbalimbali zikivunjwa na watu duniani na rekodi hizo maalumu huwa zinatunzwa katika kitabu cha kumbukumbu cha Guiness World Records. Kwa mara ya kwanza, watu ambao wako katika…
Magazeti ya leo Nov 14 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Staa mwingine wa muziki anaingia kwenye orodha ya wanaofunga ndoa hivi karibuni.
Uchumba, ndoa zote ni taarifa nzuri kuzisikia. Una taarifa kuhusu Nyota Ndogo? Mwanamuziki huyo kaingia kwenye orodha ya mastaa wanaoelekea kubadilisha status zao baada ya kuvalishwa pete ya uchumba. Nyota Ndogo ambaye…