Nchi gani ya Afrika Mashariki inaanza kutengeneza magari? wamelitengeneza hili kama mfano
Taarifa ikufikie kwamba Afrika Mashariki imeingia kwenye headlines za mapinduzi makubwa ya kiteknolojia kwa kutengeneza gari la aina tofauti na ile tuliyozoea barabarani. Kwanini nimeyaita mapinduzi makubwa katika industry? tumezoea kutumia…
Majibu ya Mwenyekiti wa Bunge kuhusu miongozo mitatu iliyoombwa Bungeni leo Novemba 13.
Kama hukupata nafasi ya kufuatilia kilichokuwa kinaendelea Bungeni Dodoma leo, mambo makubwa matatu ambayo Wabunge walihoji ni haya; kwanza kuhusu IPTL na akaunti ya ESCROW, pili kuhusu mapigano ya wakulima…
Picha za mazishi ya msanii Geez Mabovu Iringa Leo Nov 13.
Mazishi ya msanii Geez Mabovu ambaye alikuwa maarufu kwenye muziki wa Hiphop Tanzania, yamefanyika leo nyumbani kwao Iringa katika makaburi ya Mlolo. Mabovu amefariki dunia kwenye hospitali alikokua amelazwa nyumbani kwao Iringa…
Taarifa nyingine kuhusu ajali ya basi leo eneo la Mwanga
Habari zilizotufikia kutoka Mwanga Mkoani Kilimanjaro zinasema kuna ajali mbaya imetokea maeneo ya Mwanga wakati basi la kampuni ya Mbazi Travellers lililokua likitokea Arusha kuelekea Dar es salaam kupinduka. Taarifa…
Nimeirekodi na kukuwekea hapa U Heard ya kwenye XXL ya leo Novemba 13.
Umeisikiliza U Heard ya leo? Unajua leo Soudy kamtobolea nani? Soudy Brown a.k.a Gossip Cop leo kamnasa mkali kutoka Kigoma, Baba Levo story ikiwa ni kuhusu msanii huyo kumtelekeza mke…
Umepitwa na 255 kwenye XXL ya leo Novemba 13? Nimekuwekea hapa mtu wangu.
Kwenye 255 ya leo kuna taarifa kuhusiana na msiba wa rapa Geez Mabovu ambaye amefariki jana Novemba 11 kwa ugonjwa wa kifua akiwa nyumbani kwao Iringa, alikokwenda wiki iliyopita. Wasanii…
#BrekingNews kutoka Clouds FM, ni kuhusu miili ya watoto iliyokutwa baharini Dar
Taarifa ambayo imetolewa kwenye kipindi cha XXL na kwenye akaunti ya Facebook ya Clouds FM inasema kuwa kuna miili ya watoto wadogo imeokotwa kwenye pwani ya bahari ya Hindi Msasani…
Hiki ndicho kiasi cha pesa kilichowekwa kwa ajili ya Amini kwenye kazi zake za kimuziki.
Familia ya THT imemuachia rasmi msanii Amini Jumatatu ya November 10 ambapo alifanyiwa sherehe rasmi ya kuagwa na kukabidhiwa kwenye kamouni mpya ambayo imeanza kufanya nae kazi. BME ndiyo kampuni…
Nyama yatia kizaazaa msibani. #Hekaheka Novemba 13, 2014
Kama ulipitwa na Hekaheka ya leo inahusu Wananchi wa Shinyanga kufukia kaburi kwa madai ya kudharauliwa na familia ya marehemu kutokana na kile walichokiita ni jeuri ya pesa iliyoonyeshwa na…
Stori 10 hot za Magazeti ya leo Tanzania November 13 2014.
MWANANCHI Wakati bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania likiendelea na vikao vyake mjini Dodoma,imeelezwa kwamba nusu ya wabunge239 wa kuchaguliwa waliopo sasa watabwagwa katika uchaguzi mkuu ujao 2015. Hiyo…