Magazeti ya leo October 23 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Mapambano mengine ya Marekani dhidi ya Ebola.
Licha ya kwamba Marekani imekuwa nchi ambayo imeweka rekodi ya kutibu watu wenye maambukizi ya ugonjwa huku wachache wakiripotiwa kufariki, bado imetangaza mkakati madhubuti ambao umewekwa ili kuhakikisha wanadhibiti Ebola.…
Picha:Hivi ndivyo ndugu yetu YP alivyozikwa
Aliyekuwa staa wa muziki kutoka kundi la TMK Wanaume Family, Yesaya Ambilikile Mwakalekamo aka YP ameagwa jioni ya leo katika viwanja vya TCC Chan'gombe na kuzikwa makaburi ya Chang'ombe Dar…
Picha sita baada ya Diamond Platnumz kuachiwa kwa dhamana leo
Taarifa zinazomhusu msanii Diamond Platnumz kuhojiwa na jeshi la Polisi hii leo zimeenea sana kupitia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii, kuanzia jana (tarehe 21 Oktoba) meneja wa msanii…
Majibu ya miss Tanzania kwa waandishi wa habari akizungumzia yaliyosambaa.
Toka miss Tanzania atangazwe tarehe 11 Mwezi oktoba 2014, shutuma nyingi zimekua zikimuandama ambapo maswali mengi yameulizwa ikiwemo shutuma ya kwamba ameongopa umri wake, kiwango chake cha elimu, na pia…
Hii imetokea Kenya tazama mtu anavyozikwa amekaa
Kuna taarifa ambazo kama ukibahatika zikakufikia, zinaweza kukuacha kinywa wazi ama kukushtua kwa namna fulani. Stori ambayo nimeipata hivi punde kutoka 254 Kenya inahusiana na mazishi ya aina yake ambapo…
Mara yako ya mwisho kuona video mpya ya Shaa ilikua lini? katuletea hii… @Shaa_TZ
Ni kati ya wale mastaa wa bongo ambao huwa hawapotei kwenye muziki, wapo miaka na miaka na kadri time inavyosogea ndio wanazidi kubadilika inavyotakiwa na kufanya kazi zenye ubora. Sifa…
Pale ambapo bondia aliamua kumpiga refa.
Unapokuwa mwamuzi wa mchezo fulani, ni muhimu basi uwe na ujuzi wa kutosha pia katika kuumudu mchezo husika japo kidogo, hii ninayokuletea sasa hivi huenda ikawa ngeni sana kuwahi kuiona…
Taarifa kuhusiana na bweni la wanafunzi shule ya Sekondari kuteketea kwa moto.
Ajali kubwa ya moto ambao chanzo chake bado hakijafahamika, imetokea na kuteketeza bweni la wanafunzi wa shule ya Sekondari ya Mtakatifu Petro iliyopo eneo la Iwanzari, Tabora pamoja na vitu…
Story 7 hot za Magazeti ya Tanzania leo October 22 2014
MWANANCHI Mbio za urais ndani ya CCM zimechukua sura mpya baada ya aliyekua Katibu mkuu wa CCM Yusuph Makamba kutangaza rasmi kumuunga mkono mtoto wake January Makamba kwa sababu anaamini…