Kutoka Escape 1 huyu ndiye mshindi wa Serengeti Super Nyota 2014.
Mashindano ambayo yalikusanya jumla ya wasichana 14 kutoka miji 14 tofauti kwa ajili ya kutafuta kipaji kimoja ambacho kitawakilisha hiyo miji mingine hatimaye kimepatikana usiku wa kuamkia October 18 pale…
Magazeti ya leo October 18 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Pichaz 17 kutoka kwenye uzinduzi wa video ya Shilole ‘Namchukua’ ziko hapa
Usiku wa Oct 17 Zuwena Mohamed aka Shilole amezindua video ya single yake mpya 'Namchukua',video ambayo imeongozwa na director Kevin Bosco Junior nchini Kenya.Uzinduzi huo ulifanyika Coco Lounge maeneo…
Wasichana 200 waliotekwa na Boko Haram watarajiwa kuachiwa huru
Serikali ya Nigeria imesema wamefikia makubaliano ya kusitisha mapambano na kikundi cha wapiganaji wa Boko Haram, ambapo katika taarifa rasmi iliyotolewa kuhusiana na makubaliano hayo imesema kuwa wameafikiana kuhusu kuachiliwa…
Liberia yaelemewa mapambano dhidi ya Ebola
Wakati ulimwengu ukikabiliwa na changamoto ya kukabiliana na janga la ugonjwa wa Ebola, nchi ya Liberia ambayo imeathiriwa zaidi na ugonjwa huo imetangaza kukabiliwa na upungufu wa mifuko maalum ya…
Baada ya Miss TZ 2014 kuandamwa mitandaoni, Miss TZ wa 2013 ameamua kuyaandika haya
Kama na wewe unakerwa au haupendi jinsi ambavyo Miss Tanzania wa 2014 Sitti Mtemvu amekua akiandamwa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu umri wake na elimu yake baada ya kushinda taji…
Ni staa gani wa bongofleva kaamua kuweka jina badala ya namba kwenye gari lake? picha iko hapa
Ni wiki zinahesabika toka staa wa bongofleva Nay wa Mitego apate namba mpya ya gari lake inayoendana na ile ambayo amekua akiitaja kwenye nyimbo zake na kwenye page zake za…
Stori 9 hot za Magazeti ya leo October17
MTANZANIA Mume na mke wamejilipua namafuta ya Petrol Mkoani Mtwara baada ya kutokea kwa ugomvi baina yao wakati wa usiku. Kamanda wa Polisi alisema vifo hivyo vilitokana na ugomvi wa kifamilia…
Maandalizi ya mwisho ya Jukwaa la Serengeti Fiesta Dar es salaam.
Baada ya kupita mikoa mbalimbali ya Tanzania sasa imefika zamu ya wakazi wa Dar es salaam kuonja utamu huu wenye msimu wa mafanikio ndani yake sehemu moja ambayo tutakusanyika wote.…
Kumbe hii ndio aina ya magari anayoipenda Fid Q?
Rapa staa wa Hip Hop Fid Q, leo saa tatu asubuhi ameuliza swali kwa shabiki wake kupitia ukurasa wake wa Instagram (@FidQ) na Twitter kuhusu aina ya gari ambalo shabiki…