Kurasa za mwanzo na mwisho magazetini leo October 17 2014
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Umeona alichokisema Fid Q baada ya watu kuendelea kuuzungumzia umri wa Miss Tanzania Sitti Mtemvu?
Kama ulifatilia shindano la Miss Tanzania 2014 weekend iliyopita utakua unajua kilichotokea na kinachoongelewa ikiwa ni baada ya baadhi ya watu kupinga au kutoridhishwa na matokeo ya mshindi aliyetangazwa ambae…
Jinsi ya kujipatia nguo za T.I Dar es salaam!
Tunajua kwamba mmoja kati ya Wageni waliochukua headlines kwenye tamasha la muziki la Fiesta linalofanyika Jumamosi hii ya October 18 2014 Leaders Dar es salaam ni rapper T.I kutokea Marekani…
Kwa hiyo baada ya kumuacha Amber Rose, Wiz Khalifa ndio amekaa kwa huyu sio?
Wanasema wawili hawa kuna uwezekano wako kwenye ile time ya kuonyeshana/kuringishiana au kutaka kuumizana kwamba pamoja na kwamba hauko na mimi, mimi niko na huyu sasa hivi. Ni kwamba rapper…
Davido ndani ya Dar es salaam tayari! picha 7 ziko hapa
Pale ambapo unakutanishwa na miongoni mwa mastaa wanaofanya vizuri kwenye list ya hits za Afrika kwa sasa........ pale ambapo pia unapewa ruhusa ya kuona akifanya yake kwa zaidi ya dakika…
Picha 10 za staa mwingine aliyewasili Oct 16 kwaajili ya fiesta Dar
Mwimbaji kutoka Nigeria anayeishi Dubai,ashhamman amewasili leo tayari kwa Serengeti Fiesta Dar es Salaam.Ashhamman amewasili kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere mida ya saa tisa na robo…
Picha 7 kutoka Airport meneja wa T.I akiwasili Dar kwa ajili ya Fiesta
Ikiwa ni siku chache zimesalia za shangwe za Serengeti Fiesta 2014 zitawale kwa wakazi wa 88.5 Oct 18 Leaders Club Dar es Salaam.Jason Geter ambaye ni meneja wa T.I amewasili…
Picha za Waje kutoka Nigeria akiwasili Dar kwa ajili ya Fiesta @Officialwaje
Msanii wa kwanza Waje kutoka Nigeria ameshawasili usiku wa kuamkia Oct 16 baada ya mameneja wa T.I kuwasili ambapo list nzima ya wasanii wa kimataifa bado imesalia kukamilika kwa ajili…
Magazeti ya leo October 16 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Umeona daraja la Kigamboni lilipofikia? picha zake 12 mpya ziko hapa
Daraja jipya la kutuvusha kati ya Kigamboni na upande wa pili wa Dar es salaam linaendelea kujengwa juu ya bahari katika Bahari ya Hindi eneo la Kurasini Dar es Salaam ambapo…