Picha 12 za gari alilonunua msanii Shetta na mambo matatu aliyoyasema kwa wanaotaka kufanikiwa.
Lengo lilikua ni kukutana na Shetta kwa ajili ya kufanya interview kuhusu Tour yake ya Kerewa aliyotembea nayo kwenye mikoa mbalimbali ya Tanzania na nje ya Tanzania kwenye maeneo mbalimbali…
Stori 8 HOT kutoka kwenye Magazeti ya Tanzania Oct 8 2014
NIPASHE Mwenyekiti wa BAWACHA Halima Mdee na wenzake nane jana walikosa dhamana na kupelekwa rumande katika gereza la Segerea hadi leo maombi ya dhamana yatakaposikilizwa tena. Mdee pamoja na wenzake nane…
Polisi wa Indiana walivyopasua kioo cha gari ya raia kwa makusudi, ilikuaje?
Hii imetokea Indiana nchini Marekani ambapo Polisi waliisimamisha gari iliyokua na Waamerika weusi ndani yake ikiendeshwa na Mwanamke aitwae Lisa Mahone (47) akiwa na boyfriend wake Jamal Jones na watoto…
Hapa kuna dakika 1 ya Raymond wa Tiptop akimuigilizia Nay wa Mitego kuongea kwenye basi la Fiesta.
Tour ya Fiesta 2014 ilipita kwenye mikoa mbalimbali Tanzania ambapo ripota wako wa nguvu Millard Ayo nilikua miongoni mwa watu walioenjoy sana kupita nayo mikoa mbalimbali na ikanipa nafasi ya…
Huu sio msafara wa kiongozi, ni wa mtu aliekutwa na Ebola.
Kuna Nesi mmoja amegudulika kuwa na ugonjwa wa Ebola baada ya kuwahudumia Wamishionari wawili waliokua na ugonjwa huo baada ya kutoka nao Sierra Leone walikokua wamekwenda kujitolea kufanya kazi. Ugonjwa…
Magazeti ya leo October 08 2014 Udaku,Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…
Baba mzazi adaiwa kumchinja mwanaye
Baba mzazi mkazi wa Sengerema anadaiwa kumuua mwanaye wa miaka minne kwa kumchinja koromeo na kumchoma kwa kisu kwenye kitovu na utumbo kutoka nje. Mzazi huyo anadaiwa kufanya mauaji hayo…
Mama amkata mwanaye paja,achoma mshikaki
Mwanamke mmoja Kilimanjaro amekamatwa na polisi akidaiwa kumkata mtoto wake mwenye umri wa miaka nane nyama ya paja na kuichoma mithili ya mshikaki. Mwananmke huyo aliyetajwa kwa jina la…
Viboko vyatembezwa makaburini Sengerema
Wajukuu wa marehemu Sabina Ngalu wa Mwanza wamecharazwa viboko na watoto wa marehemu baada ya kung'ang'ania kaburini wakitaka wapewe fedha. Chanzo cha wajukuu hao zaidi ya 10 kucharazwa bakora ni…
Wiki mbili kabla ya kukutana na Yanga – Okwi apata majeruhi, Daktari azungumza
Zikiwa zimebaki takribani mbili kabla ya mchezo wa watani wa jadi Simba na Yanga, daktari wa Simba SC, Yassin Gembe amesema kwamba mshambuliaji, Mganda Emmanuel Okwi aligongwa kwenye enka na…