Mwingine aliyejichora tatoo kwa ajili ya star huyu wa Bongo Fleva.
Tunaona mashabiki kadhaa ambao kwa love yao hubandika picha za mastar wao wanaowapenda kwenye vyumba vyao wengine hujiita hata jina la star anayempenda na wengine wakipata nafasi ya kuonana na…
Muendelezo wa ile Hekaheka ya Fumanizi #Hekaheka
Hii ilianza jana ambapo alisikika mwanamke ambaye anasemekana kumfumania mume wake na mwanamke mwingine,idara ya Hekaheka kama kawaida yake ni pamoja na kuusikiliza upande wa pili. Leo wanasikika majirani pamoja …
Hussein Machozi ametuletea hizi 9 kutoka kwenye video yake mpya.
Hussein Machozi ni staa wa bongofleva ambae alihamia nchini Kenya kwa muda ili kukamilisha mambo yake ikiwemo muziki anaoufanya toka kitambo ambapo baada ya mishemishe hizo anatarajia kurudi kuendelea kuishi…
Sekunde 15 za sehemu ya video mpya ya Shilole. #namchukua @shilolekiuno
Hii post ni maalum kukukutanisha na sekunde 15 za kipisi cha video mpya ya staa wa bongomovie ambae jina lake limepata uzito zaidi kupitia bongofleva anayoifanya..... ni Shilole wa Nuhu…
Picha 5 za kilichotokea kwenye mpaka wa Sudan na Uganda. #vurugu
Ripota wa TZA nchini Uganda Bill the African ameripoti kuhusu hii ya vurugu kubwa kutokea kwenye mpaka wa Uganda na Sudan eneo la Ufoju kutokana na raia wa nchi hizi…
Kutana na ‘Bajaji’ yenye swagg! inatumia umeme…
Unaambiwa hii inaitwa Zbee na inatumia nguvu ya umeme kutembea, ikiwa ni njia nyingine ya kupunguza uharibifu wa mazingira... ambapo pia betri yake inachukua muda mfupi kuchajiwa na kujaa. Uwezo…
#Goodnews!! Fastjet tena kwenye headlines!! wameanza kwenda Uganda.
Shirika la ndege la Fastjet limepata sifa kubwa nchini Tanzania kutokana na kusafirisha kwake abiria na kuanza kuiunganisha Afrika kwa kasi ambapo baada ya kuanzisha safari za nyumbani kati ya…
Dakika 13 za kusikiliza uchambuzi wa Magazeti leo Sept 17
Hapa nimekurekodia magazeti yakisomwa Redioni mtu wangu leo Sept 17 ,nakuletea kwa ajili ya kusikiliza kilichoandikwa kupitia kurasa mbalimbali za Magazeti na hii ni baada ya kupitia kurasa za mbele…
Makubwa ya magazeti ya Tanzania leo Sept 17 2014..Udaku, Michezo na Hardnews.
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za mbele za…
Matokeo ya Liverpool vs Ludogorets kwenye Champions League haya hapa
Baada ya kukosa michuano ya ulaya kwa misimu kadhaa hatimaye klabu ya Liverpool leo imerejea rasmi kwenye michuano hiyo wakianza kutupa karata yao ya kugombea ubingwa huo kwa kucheza dhidi…