Hii ni kwa wale wa Davido, baada ya ‘Aye’ ndio kaiachia hii ft. Dj Arafat
Ni mkali ambae shavu lake kwa Diamond Platnumz halitosahaulika na Mtanzania yeyote aliefikiwa nalo, baada ya hit single yake ya 'Aye' right now ni time ya kusikiliza single yake mpya…
Mzigo mpya wa iPhone6 umeuona? na saa iliyokuja nayo je? viko hapa
Najua kuna uwezekano ukawa ulisikia fununu sana kuhusu iPhone6 au hata kuona baadhi ya taarifa feki kuhusu simu hii mpya, post hii ni maalum kukuletea taarifa sahihi na ya ukweli…
Katiba ipi kutumika uchaguzi mkuu 2015 Tanzania? vitu vitano vilivyotajwa je? kuna audio pia
Ni taarifa kutoka bungeni ambayo itasaidia kukata kiu ya waliokua wanaisubiria au wanasubiri kufahamu kuhusu katiba mpya ambayo imekua ikiundwa, kama itatumika kwenye uchaguzi mkuu ujao mwakani. Ripoti kutoka 104.4…
Ni Miss Universe Tanzania 2014 kwenye headlines!
Naambiwa yale mashindano ya kumsaka mwakilishi katika mashindano makubwa kabisa ya ulimbwende ulimwenguni Miss Universe Tanzania 2014 yameanza rasmi kwa hiyo kama unaamini hii ni yako kwa sababu unavyo vigezo…
Wimbo mpya na wa kwanza wa Emmanuel Mbasha toka kuanza kwa kesi yake ya kubaka
Mpaka sasa wanandoa ambao ni Waimbaji wa nyimbo za Injili Flora Mbasha na Emmanuel Mbasha hawajarudiana na kuendelea kuishi pamoja toka ianze kesi ya kubaka inayomkabili Emmanuel ambae inadaiwa alimbaka…
Maamuzi ya Mahakama baada ya mke na mwanamke wa nje kugombea maiti Moshi.
Moja kati ya taarifa kubwa kwenye magazeti ya Tanzania leo ni hii ya Mwananchi ikiwa ni ripoti kutoka Moshi kwamba Mahakama ya mji huo imetoa amri ya kufukuliwa kwa kaburi…
Maswali ya Jacqueline Ntuyabaliwe kwenye twitter
Ni kutoka kwenye stori za facebook, twitter na instagram ambapo hizi ni tweets alizoziandika Jackline Ntuyabaliwe ambayo ni maswali unayoweza kujiuliza na kunipa majibu yako kwenye comments hapa chini...
Umeona alichokifanya Adam Juma kwenye video mpya ya Dully Sykes? ‘togola’
Director wa video Adam Juma ni miongoni mwa watu waliopewa heshima kwa kuleta mabadiliko makubwa kwenye bongofleva ambapo mkono wake umeonekana kwenye video nyingi za bongofleva ambazo zimefikia kuchezwa hata…
Hii ni kwa watu wangu waliobusy na kupitwa na magazeti redioni, nimewarekodia hapa
Inawezekana wakati magazeti haya yanasomwa na kuchambuliwa ulikua mbali na radio, hizi ni dakika 17 ambazo zimechambuliwa na kusomwa kwako na PJ kupitia kipindi cha Power Breakfast. Bonyeza play kusikiliza.…
Magazeti ya leo Sept 09 2014 Udaku, Michezo na Hardnews
Kama kawaida millardayo.com inakupa vichwa vya habari vya magazeti yote ya kila siku. Leo pia kuna headline mpya kwenye magazeti mbalimbali. Chukua muda wako kupitia kila kilichoandikwa kwenye kurasa za…